Shantel
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 2,018
- 1,129
Wakuu embu tujadili huu msemo, kuna mdada wa makamo alikuwa anasumulia jinsi alivyotoka mbali na
Mumewe, na jinsi alivyoteswa na huyo mume kiasi cha kuondoka home kwa mda wa mwaka na kwenda
kuishi na mwanamke mwingine
Baada ya mwaka huo akarudi akaomba msamaha kwa mkewe, wakabariki na ndoa maisha yakaendelea
ila uhuni ukaendelea kama kawaida, mara harudi kwake hata siku tatu, mke akaamua kuvumilia tu
sasa imepita miaka kibao na wana watoto watano, yule mwanaume kabadilika amekuwa yeye wa kumfata
mkewe hata salon na kumsubiria nje mpaka amalize, ofisini anaweza enda msubiria kuanzia saa tisa yuko
nje mpaka saa kumi na nusu......
Tatizo linakuja yule dada alishakufa ganzi moyo akawa anaishi maisha yake, wakati mume sasa hivi ndio
anajifanya kumuhitaji kuliko kitu chochote kile, ndio mwisho wa maongezi mdada mwingine akaibuka na huu
msemo eti hata shatani akizeeka anakuwa malaika.......Eti wakuu mnakubaliana na huo msemo???
Nawakilisha
Mumewe, na jinsi alivyoteswa na huyo mume kiasi cha kuondoka home kwa mda wa mwaka na kwenda
kuishi na mwanamke mwingine
Baada ya mwaka huo akarudi akaomba msamaha kwa mkewe, wakabariki na ndoa maisha yakaendelea
ila uhuni ukaendelea kama kawaida, mara harudi kwake hata siku tatu, mke akaamua kuvumilia tu
sasa imepita miaka kibao na wana watoto watano, yule mwanaume kabadilika amekuwa yeye wa kumfata
mkewe hata salon na kumsubiria nje mpaka amalize, ofisini anaweza enda msubiria kuanzia saa tisa yuko
nje mpaka saa kumi na nusu......
Tatizo linakuja yule dada alishakufa ganzi moyo akawa anaishi maisha yake, wakati mume sasa hivi ndio
anajifanya kumuhitaji kuliko kitu chochote kile, ndio mwisho wa maongezi mdada mwingine akaibuka na huu
msemo eti hata shatani akizeeka anakuwa malaika.......Eti wakuu mnakubaliana na huo msemo???
Nawakilisha