Hata Mungu amefurahi!

Hata Mungu amefurahi!

TumainiEl

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
7,266
Reaction score
14,274
Kwakweli anga limeficha siri nying sana. Sio siri tangu siku za manabii mvuwa ilikuwa ishara kubwa ya Baraka na Mungu kusikia maombi ya watu. Kwahapa Tz Mungu pia amefurahi maana amezaliwa mtoto mwaminifu na mchapa kazi ambaye ataleta mabadiliko makubwa yakiuchumi Dr Magufuli. Kiufupi mvua imenyesha bara na visiwan siku yakutangazwa kama mshindi na hata kuchukua cheti. Ama kwa hakika tumempata Rais na Mungu amefurah. Thx
 
statistics zako zenyewe zinaonyesha una matatizo

Join Date : 13th January 2010
Posts : 1,235
Rep Power : 850
Likes Received
362
Likes Given
303
 
Kwakweli anga limeficha siri nying sana. Sio siri tangu siku za manabii mvuwa ilikuwa ishara kubwa ya Baraka na Mungu kusikia maombi ya watu. Kwahapa Tz Mungu pia amefurahi maana amezaliwa mtoto mwaminifu na mchapa kazi ambaye ataleta mabadiliko makubwa yakiuchumi Dr Magufuli. Kiufupi mvua imenyesha bara na visiwan siku yakutangazwa kama mshindi na hata kuchukua cheti. Ama kwa hakika tumempata Rais na Mungu amefurah. Thx
tumempata mtawala.
 
Mungu hawezi kufurahia udhalimu
 
basi tumelaanika kama ndiyo hivo.. huku kwa lusinde jua mwanzo mwsho toka kampeni
 
Kweli n ishara nzuri mvua imenyesha, hili n chaguo la Mungu
 
Unamjua mungu wewe acha kulitaja bure jina la mungu wako eti una mwamini hivi unaanzaje kumwamini binadamu mwenzako tena mwanaume mwenzako hujiewi wewe
 
Kama ni chaguo la Mungu kwetu namtakia baraka zote, na ashukuriwe Mungu kwa kutupa kiongozi Bora.

Mungu anajulikana kuwa ni Mungu wa haki, na ndivyo ilivyo. Je, kura feki zilizoonekana zikisambaa huko kagera na mahesabu na majumuisho ya NEC yenye maulizo ni mpango wa Mungu? Nashindwa kuelewa kiukweli...Mungu ni MUNGU wa haki haihitaji akili za mwanadamu zimsaidie kutenda kile anachotaka kufanya bali humtumia mwanadamu kutimiza neno lake ktk njia ya haki na kweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom