Hata mkoloni hakuwatweza watanganyika hivi

dr namugari

JF-Expert Member
Nov 19, 2022
9,402
15,985
Watanzania wananyanyaswa Sana na watawala hata kuliko mkoloni tulie ambiwa kuwa aliondoka hapa tanganyika mwazOni mwa 1960 , na walituachia vitu vingi vya muhimu Sana kama shule ,makanisa, mashamba makubwa ,reli ,na urban planning nzuri sanaa katka baadhi ya mikoa.

Sasa hivi tuko na ngozi nyeusi acha kabsa kheri Tena ngozi nyeupe manake ngozi nyeupe ina utu ,huruma,hawana wivu ,siyo wavivu ,Wana jali maslai ya wafanyakazi Ni watu wakarimu na wamestaarabika mno ,hawaibi hadharani

Sasa hivi Tunanyanyaswa na ngozi nyeusi ,tunatezwa ,tunabambikiwa kesi ,tunanyimwa elimu Bora ,mishahara duni tunalipwa ,mafao wanaiba Tena kwa kuweka sheria Kali, wanaiba mpaka mafao ya wanajeshi je nao wamekaha kimya tu na kujikomba ili nao wateuliwe ili wakaibe vzr

wezi wa Mali za umma wamejaha kila Kona Hadi ikulu wapo na wanajulikana kuwa Ni wezi ,wezi Hadi ukiwa mnyonge wanakuibia Hadi mke na mume

Tanganyika ukihoji Jambo lolote unabambikiwa kesi za ugaidi ,uhaini ,uhujumu uchumi ,ujambazi yaani kila kitu unapewa ilimradi usote,utaabike ,ukonde ,ufe kwa pressure ,Bora mkoloni Tena hakuwa na baya alihimiza watu wafanye kazi na kuelimikaa na kujijenga


Nani atatufusha watanganyika manake tunaonewa mno na Hakuna wa kutupigania tupo Kama kondoo wanao subiria kuchinjwa .

Mtu au kikundi Cha watu wakijitokeza kumpigania mtanganyika Basi huyo mtu ataoneshwa rangi zote na mamla

Kwa kufipi kumpigania mtanganyika Ni kujitafutia matatizo bure na mtanganyika atakaha kimya pindi upatapo matatizo Wala hatajali Yuko zake busy kuwasifu watawala
 
Watanzania wananyanyaswa Sana na watawala hata kuliko mkoloni tulie ambiwa kuwa aliondoka hapa tanganyika mwazOni mwa 1960 , na walituachia vitu vingi vya muhimu Sana kama shule ,makanisa, mashamba makubwa ,reli ,na urban planning nzuri sanaa katka baadhi ya mikoa.

Sasa hivi tuko na ngozi nyeusi acha kabsa kheri Tena ngozi nyeupe manake ngozi nyeupe ina utu ,huruma,hawana wivu ,siyo wavivu ,Wana jali maslai ya wafanyakazi Ni watu wakarimu na wamestaarabika mno ,hawaibi hadharani

Sasa hivi Tunanyanyaswa na ngozi nyeusi ,tunatezwa ,tunabambikiwa kesi ,tunanyimwa elimu Bora ,mishahara duni tunalipwa ,mafao wanaiba Tena kwa kuweka sheria Kali, wanaiba mpaka mafao ya wanajeshi je nao wamekaha kimya tu na kujikomba ili nao wateuliwe ili wakaibe vzr

wezi wa Mali za umma wamejaha kila Kona Hadi ikulu wapo na wanajulikana kuwa Ni wezi ,wezi Hadi ukiwa mnyonge wanakuibia Hadi mke na mume

Tanganyika ukihoji Jambo lolote unabambikiwa kesi za ugaidi ,uhaini ,uhujumu uchumi ,ujambazi yaani kila kitu unapewa ilimradi usote,utaabike ,ukonde ,ufe kwa pressure ,Bora mkoloni Tena hakuwa na baya alihimiza watu wafanye kazi na kuelimikaa na kujijenga


Nani atatufusha watanganyika manake tunaonewa mno na Hakuna wa kutupigania tupo Kama kondoo wanao subiria kuchinjwa .

Mtu au kikundi Cha watu wakijitokeza kumpigania mtanganyika Basi huyo mtu ataoneshwa rangi zote na mamla

Kwa kufipi kumpigania mtanganyika Ni kujitafutia matatizo bure na mtanganyika atakaha kimya pindi upatapo matatizo Wala hatajali Yuko zake busy kuwasifu watawala
Dawa ni Watanganyika wote kuamks, hamna kusubiri wachache ndio wajitoe mhanga. Pa kuanzia ni katiba mpya!
 
Tumenyanyaswa na Nini? Ivi unayajua mateso waliyopata Babu zetu Kwa wakoloni? Au kukoroma tu hapa?
 
Back
Top Bottom