Gonzalo Miguel
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 837
- 622
tena international co local😂😂😂😂😂😂Bonghood.
sasa si alikua ananyata ndo maana kavua buti, haahaaaaMwizi anavua viatu? Sijawahi hona
Swissme
Inaelekea we hujawahi kuona ile ya jini linamfukuza mtu afu linazidiwa mbio linaamua kukodi bodabodaHiyo ndo Bongo movie sasaView attachment 927452
Tatizo la Wabongo tunapenda kuponda sana pasipo research wala kujiuliza hii ilikuwa wapi na ilikuwaje. Hata picha ya watu wanafanya rehearsals (mazoezi) kabla ya shooting watu wanatokwa povu...Hiyo ndo Bongo movie sasaView attachment 927452
Au viatu vina arufu sana akavua kuogopa Mlengwa asikurupuke.sasa si alikua ananyata ndo maana kavua buti, haahaaaa
Hapa nadhami jiwe lempata mtu itosini.ha ha ha haaaa.Tatizo la Wabongo tunapenda kuponda sana pasipo research wala kujiuliza hii ilikuwa wapi na ilikuwaje. Hata picha ya watu wanafanya rehearsals (mazoezi) kabla ya shooting watu wanatokwa povu...
Ukiuliza watu hii movie inaitwaje na imetengenezwa na nani sidhani kama kuna mwenye jibu!...
babu jini anakodi bodaboda mweeeInaelekea we hujawahi kuona ile ya jini linamfukuza mtu afu linazidiwa mbio linaamua kukodi bodaboda
Bongo movie haina tofauti na kuangalia movie inayoonesha mbuzi anavyotaga.
Jifunze kuandika wewe bwege...Hapa nadhami jiwe lempata mtu itosini.ha ha ha haaaa.
Huu ndio uongowa wazi wazi wa bongo movie, eti jambazi hana viatu, miguu peku pekuHiyo ndo Bongo movie sasaView attachment 927452
Jambazi anavamia na kuacha viatu njeHiyo ndo Bongo movie sasaView attachment 927452