Eti gari limesajiliwa Msumbiji, limeingia Tz kupitia mpka na Kenya, Dereva ni Mnigeria anaeitwa Obasanjo, Lugha iliyokuwa inazungumzwa ni kilugha cha kusini mwa Afrika, afu watekaji ni wazungu!!View attachment 905967
Daah nmecheka kwelii kweny huu uziEti gari limesajiliwa Msumbiji, limeingia Tz kupitia mpka na Kenya, Dereva ni Mnigeria anaeitwa Obasanjo, Lugha iliyokuwa inazungumzwa ni kilugha cha kusini mwa Afrika, afu watekaji ni wazungu!!View attachment 905967
Alieandika hayo maneno
Director mimi kumbe nili bugi . Sema nn wanangu script ziliingiliwa na virus.. Tusahameane tu kwa kweliEti gari limesajiliwa Msumbiji, limeingia Tz kupitia mpka na Kenya, Dereva ni Mnigeria anaeitwa Obasanjo, Lugha iliyokuwa inazungumzwa ni kilugha cha kusini mwa Afrika, afu watekaji ni wazungu!!View attachment 905967
Only this can be done in Africa.Eti gari limesajiliwa Msumbiji, limeingia Tz kupitia mpka na Kenya, Dereva ni Mnigeria anaeitwa Obasanjo, Lugha iliyokuwa inazungumzwa ni kilugha cha kusini mwa Afrika, afu watekaji ni wazungu!!View attachment 905967
Bongo Movies wanaingiaje hapa? Waacheni wapumzike...Huwa najiuliza Bongo Movie wanakosea wapi kumbe tatizo director