haaaa haaaa haaaa. ....nimecheka kwa huzuni kweli kweli, ndoa jamani mweh, lakini m2 unajickiaje miaka yote hiyo kumtesa mwenzio wakati unajua kabisa nafcn mwako kwamba kosa ni lako ukweli?
only 4 months ameanza ku cheat namna hiyo? Dada fanya uamuzi kwa kuzingatia yafuatayo:Hata mimi namshangaa huyo mwanamke! Namshangaa kwa kweli!
Huyo dada anafanya kosa hata vitabu vya Mungu vinapinga alichokifanya
Genesis 2: 24 Therefore shall a man leave his father and his mother, and shall cleave unto his wife: and they shall be one flesh.
Math 19: 5 And said, For this cause shall a man leave father and mother, and shall cleave to his wife: and they twain shall be one flesh?
Ephesians 5 :31 For this cause shall a man leave his father and mother, and shall be joined unto his wife, and they two shall be one flesh.
Anamkosea Mungu kuacha nyumba ya ndoa kwenda kwa wazazi wake! Je mama yake naye akiona kasoro kwa baba yake naye atakwenda wapi?
Huyu mwanamme kanipa kigugumizi ,lakini ukweli ni kwamba alikuwa anacheat huko alipokuwa hapo anajaribu kutafuta namna ya kujitetea,mwenyezi mungu kamuumbua na tabia zake chafu..uamzi sasa anao mke .kwani moyoni mwake anajua anahitaji nini.
mautamu yenyewe yanachakachuliwa hivyo, hata shetani anaogopa.Unamuonea huruma kupata mautamu?
:eyebrows::eyebrows:Hata mimi namshangaa huyo mwanamke! Namshangaa kwa kweli!
yaani cku hizi nadhani utamu unaishia honeymoon, ukitoka hapo unaanza mpambano.
yaani cku hizi nadhani utamu unaishia honeymoon, ukitoka hapo unaanza mpambano.
Huyo dada anafanya kosa hata vitabu vya Mungu vinapinga alichokifanya
Genesis 2: 24 Therefore shall a man leave his father and his mother, and shall cleave unto his wife: and they shall be one flesh.
Math 19: 5 And said, For this cause shall a man leave father and mother, and shall cleave to his wife: and they twain shall be one flesh?
Ephesians 5 :31 For this cause shall a man leave his father and mother, and shall be joined unto his wife, and they two shall be one flesh.
Anamkosea Mungu kuacha nyumba ya ndoa kwenda kwa wazazi wake! Je mama yake naye akiona kasoro kwa baba yake naye atakwenda wapi?
halafu wewe smiles wewe taratibu bwana unachangia changia posts za watu hala hala usiwape ban.....!wapi imeandikwa a man shall cheat on his wife and get away with it????
Hahahahahahaaaa.Mautamu ya kichina.. mweeee, wachina wametuweza kwakweli....mautamu yenyewe yanachakachuliwa hivyo, hata shetani anaogopa.
Ni kweli huyu dada alitakiwa kupambana na si kukubali kushindwa kihivyo! Mshauri tu arudi kwake wakayamalize huko muhimu keshajua ategemee nn kwenye ndoa hiyo
halafu wewe smiles wewe taratibu bwana unachangia changia posts za watu hala hala usiwape ban.....!