Mpaka sasa sijaona usajili wa maana katika timu yangu ninayoipenda.
Eti sasa hivi Ed Woodward anahangaikia saini ya Longstaff wa Newcastle, kipindi majirani zetu na wapinzani wetu wanafanya sajili za kueleweka,Ed Woodward anatuletea wachezaji wake wa ajabu ajabu.
Nasemaje,siko tayari kuendelea kuteseka na stress kwa msimu mwingine.
Hata Manchester City ni Manchester pia,msimu ujao nitakuwa Manchester City ya Pep Guardiola.
"KUNA WATU WATACHUKIA"
Tusameheane tu.
Eti sasa hivi Ed Woodward anahangaikia saini ya Longstaff wa Newcastle, kipindi majirani zetu na wapinzani wetu wanafanya sajili za kueleweka,Ed Woodward anatuletea wachezaji wake wa ajabu ajabu.
Nasemaje,siko tayari kuendelea kuteseka na stress kwa msimu mwingine.
Hata Manchester City ni Manchester pia,msimu ujao nitakuwa Manchester City ya Pep Guardiola.
"KUNA WATU WATACHUKIA"
Tusameheane tu.