Nimesikiliza JPM leo katika uzinduzi wa fly over ubungo, anadai ye ni raisi anayejiamini, fomu alienda kuchukua mwenyewe na hawezi kupangiwa nini cha kufanya, swali langu kwake ni je hizo kura alijipigia yeye akawa raisi, kwanini watanzania kama kuna uonevu asiwasikilize, nahisi kuna viongozi wanaodhani wataishi milele nawakumbusha KIFO kipo, ujuaji mwisho wake ni aibu....ngoja tuone hata huyo unayemkingia kifua mwisho wake utakuaje.....wangapi wamefukuzwa kazi na kuachishwa masomo kisa hawana vyeti leo hii raisi ndio angeuka anakuwa mtetezi wa swala hili kwa mtu ambae hana vyeti.....daaaaah