Vitu vingi vinavyofanyika kwa mapenzi ni shida kufanyika pasipo mapenzi. Mfano kwenye mapenzi kujuliana hali ni kujali ila pasipo mapenzi ni kero.Huyu bint kiukwel asipoangalia,..itakula kwake
1.anataka kiila weekend aje kwangu ijumaa aondoke j3 hata sipumui kiukwel
2.nkimwacha nyumban nakuta kapekua kiila kona af alivyo 0 brain hata kurudisha vzur hawez
3.tumekubaliana mambo ya sim kila mtu na yake ila yeye nikiacha sim dk mbil nakuta kaishika yani..anazuga et anapiga selfie yake camera uwezo mdogo
4.na mambo mengne meeng yanakera
Well,kilichofanya niandike uzi ni hiv nmemdanganya nmesafir kikaz mwez mzima,cha ajabu et anasema anataka aje hukohuko et tukae wote ,yuko serious had ugomv yan,najua anataka kuthibitisha tuu ni kweeli
Hiv mwanamke wa hiv kwel si balaa hil,(bom,linasubir kulipuka hili)
Uzi tayar.
Acha kumpetezea muda huna malengo naeHuyu bint kiukwel asipoangalia,..itakula kwake
1.anataka kiila weekend aje kwangu ijumaa aondoke j3 hata sipumui kiukwel
2.nkimwacha nyumban nakuta kapekua kiila kona af alivyo 0 brain hata kurudisha vzur hawez
3.tumekubaliana mambo ya sim kila mtu na yake ila yeye nikiacha sim dk mbil nakuta kaishika yani..anazuga et anapiga selfie yake camera uwezo mdogo
4.na mambo mengne meeng yanakera
Well,kilichofanya niandike uzi ni hiv nmemdanganya nmesafir kikaz mwez mzima,cha ajabu et anasema anataka aje hukohuko et tukae wote ,yuko serious had ugomv yan,najua anataka kuthibitisha tuu ni kweeli
Hiv mwanamke wa hiv kwel si balaa hil,(bom,linasubir kulipuka hili)
Uzi tayar.
Weekend ni siku ya kijasiriamal na mipango na washkaj etc,sasa yeye awe mda wote namm,ntafanyaje hzo mambo zngne..nashindwa mwambia usije sabab ana mindWewe ndio hujielewi, unakiri kuwa umemdanganya kuwa umesafiri na yeye anataka kuthibitisha halafu unamuona hajielew badala ya wewe kuwa ndio hujielew...
Huyu bint kiukwel asipoangalia,..itakula kwake
1.anataka kiila weekend aje kwangu ijumaa aondoke j3 hata sipumui kiukwel
2.nkimwacha nyumban nakuta kapekua kiila kona af alivyo 0 brain hata kurudisha vzur hawez
3.tumekubaliana mambo ya sim kila mtu na yake ila yeye nikiacha sim dk mbil nakuta kaishika yani..anazuga et anapiga selfie yake camera uwezo mdogo
4.na mambo mengne meeng yanakera
Well,kilichofanya niandike uzi ni hiv nmemdanganya nmesafir kikaz mwez mzima,cha ajabu et anasema anataka aje hukohuko et tukae wote ,yuko serious had ugomv yan,najua anataka kuthibitisha tuu ni kweeli
Hiv mwanamke wa hiv kwel si balaa hil,(bom,linasubir kulipuka hili)
Uzi tayar.
Hyo paragraph ya mwisho sjakuelewaVitu vingi vinavyofanyika kwa mapenzi ni shida kufanyika pasipo mapenzi. Mfano kwenye mapenzi kujuliana hali ni kujali ila pasipo mapenzi ni kero.
Kupelekeana maji bafuni ni mahaba na heshima. Pasipo mapenzi ni utumwa na mfumo dume.
Ushauri To coexist the distance apart should be equal to the least feelings between you. Pia utakayemplekea kwako uwe na mpango naye sio kiiila mtu anakuja kwako.
Nyie ndo mnaboa kishenzi. Imagine unaoa mke alishakaa na njemba akapika na kupakua. Keshalifualia boxer na wala hana asichokijua kuhusu njemba hiyo. Halafu wanakutana wanapiga stroy. Hapo una mke kweli???