Mkuu kama unakua na ghadhabu hiv kwenye mada tuu za mitandaon sipat picha huko uliko kwenye uhalisia wa maisha..dah take it easyUkifika ugenini ukaangaliana na mtoto kisha asipokusalimia jua hiyo sio familia salama
hakuna malezi yaliyo bora wala misingi mizuri,
Unapoweka jambo hadharani kubaliana na uhalisia, then hata ningekuwa nao hapa dada zangu sio mirembe wakakuchukua wewe ili kukutunza
Mwambie yote usoyapenda, sio vizuri kuficha vitu moyoni wakati hupendi. Atabadilika, na atakuwa Mke mwema kwako.Naanzaje sasa ndugu yangu..
Unamwingizaje mwanamke asiyekuwa mchumba wako nyumbani kwako?
DuhUkifika ugenini ukaangaliana na mtoto kisha asipokusalimia jua hiyo sio familia salama
hakuna malezi yaliyo bora wala misingi mizuri,
Unapoweka jambo hadharani kubaliana na uhalisia, then hata ningekuwa nao hapa dada zangu sio mirembe wakakuchukua wewe ili kukutunza
Mkuu kama unakua na ghadhabu hiv kwenye mada tuu za mitandaon sipat picha huko uliko kwenye uhalisia wa maisha..dah take it easy