Hata kama wamekuwekea bastola kichwani, usikubali kuondoka na watekaji. Narudia usikubali.

From Sir With Love

JF-Expert Member
Sep 13, 2010
2,076
3,797
Kumekuwa na matukio mengi ya kutekwa na kati ya matukio mia moja, inawezekana waliyorudi salama ni wawili au watatu akiwemo Mo Dewji. Tukumbushane rules chache kuhusu utekaji na hasa swanasiasa.

Rule no. 1 Uikubali kupelekwa sehemu yoyote na watekaji hata kama wamekuonyesha bastola au kisu. Lengo la mtekaji ni kukupeleka mafichoni, sehemu ambayo atafanya yake bila bugudha. Kama anataka kukuua basi akuulie hapo ulipo lakini sio sehemu tofauti. Narudia usikubali kupelekwa sehemu yoyote ile (Secondary location). Rejea mfano wa tajiri Zacharia kule Mara. Alijua akiondoka hatarudi, akakomaa.

Kuondoka na watekaji ni kujiamini kijinga. Muda wa kufanya chochote ni wakati wanakuteka na si vinginevyo.

Rule no. 2 Usizame kwenye simu mpaka ukasahau ullimwengu unao kuzunguka. Unamkuta mtu yupo mjini amesimama au amekaa lakini amezama kwenye simu yake mpaka hana hata uelewa na nani anamchukulia timing. Unapokuwa kwenye hoteli au unapotembea kuwa mwangilifu na mazingira na watu wanaokuzunguka ili kufahamu pre attack indicators.

Rule no.3 Usikae nje mpaka usiku wa maanane bila sababu ya msingi. Hakuna kitu kizuri hutokea usiku. Japo wengi wanatekwa mchana, lakini utekaji pia hufanyika usiku. Jihadhari na giza na kuwa makini na mazingira yako.
 
Mtu akikuteka hana mpango wa kukuua vinginevyo utakosa next possible chance ya kuishi. rejea Roma mkatoriki, MO na wengine wengi waliorudi baada ya kutekwa. Hata kama hao watekaji watakuwa Alshabaabu au IS we nenda huwezi jua mkakutana na wanajeshi wakiwa doria ukawa ndo msaada wako.

Kikubwa ni kumtegemea Mungu na 'tii sheria bila shurti'
 
Kumekuwa na matukio mengi ya kutekwa na kati ya matukio mia moja, inawezekana waliyorudi salama ni wawili au watatu akiwemo Mo Dewji. Tukumbushane rules chache kuhusu utekaji na hasa swanasiasa.

Rule no. 1 Uikubali kupelekwa sehemu yoyote na watekaji hata kama wamekuonyesha bastola au kisu. Lengo la mtekaji ni kukupeleka mafichoni, sehemu ambayo atafanya yake bila bugudha. Kama anataka kukuua basi akuulie hapo ulipo lakini sio sehemu tofauti. Narudia usikubali kupelekwa sehemu yoyote ile (Secondary location). Rejea mfano wa tajiri Zacharia kule Mara. Alijua akiondoka hatarudi, akakomaa.

Kuondoka na watekaji ni kujiamini kijinga. Muda wa kufanya chochote ni wakati wanakuteka na si vinginevyo.

Rule no. 2 Usizame kwenye simu mpaka ukasahau ullimwengu unao kuzunguka. Unamkuta mtu yupo mjini amesimama au amekaa lakini amezama kwenye simu yake mpaka hana hata uelewa na nani anamchukulia timing. Unapokuwa kwenye hoteli au unapotembea kuwa mwangilifu na mazingira na watu wanaokuzunguka ili kufahamu pre attack indicators.

Rule no.3 Usikae nje mpaka usiku wa maanane bila sababu ya msingi. Hakuna kitu kizuri hutokea usiku. Japo wengi wanatekwa mchana, lakini utekaji pia hufanyika usiku. Jihadhari na giza na kuwa makini na mazingira yako.
Tanzania siyo salama ,Mimi sasa hivi simwamini tena polisi maana na wenyewe ni watekaji hata likinifika jambo siendi bora nibaki namlilia mola wangu.
Nimekata tamaa inasikitisha sana badala ya kuwa walinzi wa RAIA wamekuwa watekaji.
 
Huo ujasiri wa kuzingua kuondoka nao ni mgumu, ukizingatia Jamaa wanawatishia raia bastola hakuna mtetezi wataondoka na wewe tu. Cha msingi ni kwenda na biti la wimbo full stop.
 
hiyo rule no 1 nimeielewa ila inategemea na mtekwaji mwenyewe je anauwezo kukabiliana na watekaji akawashinda?
Ni kweli. Kumbuka hawa jamaa hawaendi kukupa mshahara. Jitutumue na ukomae. Hiyo ndiyo plan peke yake. Huna plan nyingine zaidi ya hiyo.
 
Alyways avoid the ambush but when you are already in for it; there is only one way..... Miracle or intervation from Almighty God. Hapo unatakiwa kukumbuka maandiko kutoka katika vitabu mbalimbali mfano Nabii Isaya, Zaburi, Kutoka,Yona, Matendo ya Mitume, Jeremia etc
 
Mtu akikuteka hana mpango wa kukuua vinginevyo utakosa next possible chance ya kuishi. rejea Roma mkatoriki, MO na wengine wengi waliorudi baada ya kutekwa. Hata kama hao watekaji watakuwa Alshabaabu au IS we nenda huwezi jua mkakutana na wanajeshi wakiwa doria ukawa ndo msaada wako.

Kikubwa ni kumtegemea Mungu na 'tii sheria bila shurti'

Hicho kitu ndiyo huwaumiza watu wengi. Usijitie matumaini ambayo hayapo. Kama ni mwanasiasa lazima na lazima utajua wanakuteka kwa sababu gani au utakuwa unahisi. Narudia tena, usikubali wakupeleke kwenye secondary location. Kama umeamua kujitutumua kwenye siasa na ukasema huogopi chochote, basi jinasue mapema kwenye utekaji. Sio lazima kupigana nao, ila hata makelele ya ukichaa mpaka majirani wote watoke nje.
 
Kumekuwa na matukio mengi ya kutekwa na kati ya matukio mia moja, inawezekana waliyorudi salama ni wawili au watatu akiwemo Mo Dewji. Tukumbushane rules chache kuhusu utekaji na hasa swanasiasa.

Rule no. 1 Uikubali kupelekwa sehemu yoyote na watekaji hata kama wamekuonyesha bastola au kisu. Lengo la mtekaji ni kukupeleka mafichoni, sehemu ambayo atafanya yake bila bugudha. Kama anataka kukuua basi akuulie hapo ulipo lakini sio sehemu tofauti. Narudia usikubali kupelekwa sehemu yoyote ile (Secondary location). Rejea mfano wa tajiri Zacharia kule Mara. Alijua akiondoka hatarudi, akakomaa.

Kuondoka na watekaji ni kujiamini kijinga. Muda wa kufanya chochote ni wakati wanakuteka na si vinginevyo.

Rule no. 2 Usizame kwenye simu mpaka ukasahau ullimwengu unao kuzunguka. Unamkuta mtu yupo mjini amesimama au amekaa lakini amezama kwenye simu yake mpaka hana hata uelewa na nani anamchukulia timing. Unapokuwa kwenye hoteli au unapotembea kuwa mwangilifu na mazingira na watu wanaokuzunguka ili kufahamu pre attack indicators.

Rule no.3 Usikae nje mpaka usiku wa maanane bila sababu ya msingi. Hakuna kitu kizuri hutokea usiku. Japo wengi wanatekwa mchana, lakini utekaji pia hufanyika usiku. Jihadhari na giza na kuwa makini na mazingira yako.
Nimeongeza kujifua. Ole wake m2 aje, lazima tumalizane sikubali kwenda kugegedwa tunamalizana palepale. Ujue kurudi ni majaaliwa hivyo tumia resources zote ulizonazo mmalizane
 
Kina kitu kinaitwa umoja ni nguvu wao wapo wengi we ni mmoja ata ukileta upinzani watakuchukua tu utake ustake cha msingi ni kuwa makini tu

Umeshawahi kumwona mtu aliyepandwa na majini halafu anawazidi watu watano au sita. Yapandishe majini. Narudia jaribu kila uwezalo usiondoke nao.
 
Kumekuwa na matukio mengi ya kutekwa na kati ya matukio mia moja, inawezekana waliyorudi salama ni wawili au watatu akiwemo Mo Dewji. Tukumbushane rules chache kuhusu utekaji na hasa swanasiasa.

Rule no. 1 Uikubali kupelekwa sehemu yoyote na watekaji hata kama wamekuonyesha bastola au kisu. Lengo la mtekaji ni kukupeleka mafichoni, sehemu ambayo atafanya yake bila bugudha. Kama anataka kukuua basi akuulie hapo ulipo lakini sio sehemu tofauti. Narudia usikubali kupelekwa sehemu yoyote ile (Secondary location). Rejea mfano wa tajiri Zacharia kule Mara. Alijua akiondoka hatarudi, akakomaa.

Kuondoka na watekaji ni kujiamini kijinga. Muda wa kufanya chochote ni wakati wanakuteka na si vinginevyo.

Rule no. 2 Usizame kwenye simu mpaka ukasahau ullimwengu unao kuzunguka. Unamkuta mtu yupo mjini amesimama au amekaa lakini amezama kwenye simu yake mpaka hana hata uelewa na nani anamchukulia timing. Unapokuwa kwenye hoteli au unapotembea kuwa mwangilifu na mazingira na watu wanaokuzunguka ili kufahamu pre attack indicators.

Rule no.3 Usikae nje mpaka usiku wa maanane bila sababu ya msingi. Hakuna kitu kizuri hutokea usiku. Japo wengi wanatekwa mchana, lakini utekaji pia hufanyika usiku. Jihadhari na giza na kuwa makini na mazingira yako.


Great! Ukiangalia uumbaji ni kwamba binaadam ana uwezo wa hali ya juu kuliko kiumbe chochote katika kuyakabiri mazingira yanayomkuta hasa kwa ghafla! Hata kama ni kwa kukabiriana na binaadam mwenzio, kanuni ni kwamba "hakuna mtihani husio kuwa na jibu"

***You never know how strong you are until being strong is the only choice you have!
 
Back
Top Bottom