dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Kukubali kuchukuliwa bila kuacha taharuki na kuwajulisha raia eneo hilo kuwa unakamatwa na watu wasio sahihi.
Hii inatokea mara Nyingi, mtekwaji anachukuliwa kwa kuaminishwa na Watekaji kuwa ni Maofisa Sahihi kwakuonyeshwa Vitambulisho.
KOSA: Ni kuamini kila Ofisa ni Mkamataji mwema, Watekwaji wanakosa muda wa Kuomba watu wa jirani hata wapita Njia
> Kuongozana naye
> Kufuatilia gari
> Kuwataka Maofisa hao waende naye kwa pamoja kituo cha jirani cha polisi
> Kushindwa kuomba wqpita njia wapigie simu Ndugu,jamaa na Marafiki
BADALA YAKE
Mtekwaji anategemea kupata Haki hizo au ushirikiano huo huko anapopelekwa
MAKOSA 10 TUNAYOFANYA WAKATI TUNATEKWA
1. Watu wanaokuja Kututeka mara Nyingi, huwa tunawaona hawapo katika utaratibu Rasmi wa Ukamataji kama Wanavyofanya Jeshi la polisi.
> Hawavai Uniforms
> Huja na magari ya kiraia
> Hawaonyeshi Vitambulisho
> Hutumia Nguvu badala ya Mashauriano au Maelewano.
KOSA: Ni kukubali kutoa Ushirikiano kwa watu hao, Kuogopa watakudhuru au kukuumiza wakati wa Mvutano
Wakati Ukweli ungepiga kelele kuita watu, au kuburuzwa au kujaza watu ungepata Msaada.
Ikibidi kama watakuua Bora wakuue Mwenge tuokote Maiti, kuliko kudhani bunduki zile aziwezi kukudhuru huko unakokwenda
4. KOSA LA NNE
Wale wenye Wasi wasi au Mashaka na Mwenendo wao kuhusika na utekwaji kukosa kampani katika Matembezi
Hawa ni
> Waandishi wa habari za Uchunguzi
> Wakosoaji wa mitandaoni
> Wanasiasa wa upinzani
> Watumashuhuri wasio kubakiana na Matendo au Mwenendo wa Serikali
Kama Upo Kwenye kundi hilo kwa nini Utembee Peke yako hata unapokuwa jirani na Maeneo au Makazi yako
Kumbuka kesi nyingi za Utekaji ni
> Kukosekana kwa taarifa za haraaka
> Kukosekana mtoa taarifa wa haraka
> Kukosekana anaye kariri namba za usafiri uliochukuliwa nao
> Kukosekana mpiga picha wa Matukio ya utekwaji
Basi kwa Namna hiyo, Usikubali kuwa katika Matembezi binafsi na kukosa Kampani kila Mara, mpaka pale hali ya hatari itakapo tulia
3. KOSA LA TATU
Kutaka mashauriano, mabishano ya kisheria, na maridhiano badala ya kujihami
Wanaokuja kukuteka wanajua wanavunja Sheria, Wanajua we unajua PGO na sheria zote za Makosa ya Jinai na Mwenendo wake, Achana na ubishi
SULUHU NI KUKIMBIA
Ndio naongelea Mbio, hizo hizo unazojua, je unakimbia kwenda wapi?
Mbio zako ziwe kuelekea
> Kituo cha jirani cha polisi
> Au kwa Polisi ofisa
> Kambi za jeshi
> Ofisa wa Jeshi
> Kama upo barabarani nenda hata kwa trafiki Ofisa
Hawa wote wakishuhudia ukamatwaji wako, Dhama itakuwa juu yao
Pia unaweza kukimbia kuelekea katika Maeneo au Majengo ya umma
> Ingia Sokoni
> Ingia Vyuoni au shuleni
> Ingia kanisani au Msikitini
> Ingia katika vituo vikubwa au vidogo vya daladala
Huko kote watakuwa na uwezo wa kukukamata wala siyo kukuteka, utapata support ya wananchi
6. KOSA LA SITA TUNALOFANYA WATEKWAJI
Kuendelea Kutumia Njia za Mawasiliano na Usafiri zile zile hata wakati tupo kwenye alert ya hatari
> Unaendelea kutumia Simu hiyohiyo
> Unaendelea kutumia line ya simu hiyohiyo
> Unaendelea kutumia Magari au Pikipiki zilezile hata baada ya kusikia fununu ya kufuatiliwa na watu usio wajua
> Kuendelea kupita njia zile zile wakati wa kurudi Nyimbani au kutoka Nyumbani hata wakati wa taarifa za kufuatiliwa kwako
> Kuendelea kutembelea Maeneo ya Starehe au Vijiwe vile vile hata wakati wa hatari
> Huo ni uzembe, Simu yako ikiwa inawaka ujue Watekaji wanakuona moja kwa moja.
> Kama unabadili line basi hakikisha unabadili na simu,na usiweke line ya zamani katika simu Mpya kwa sababu,Taarifa za mabadiliko ya line yako katika simu yatasomeka katika taarifa Mpya ya IMEI chequer124
Itaonyesha Mtumiaji wa simu fulani sasa ameweka line fulani kwenye simu fulani baada ya kutoa ile line fulani.
(Acha kutumia simu na line ya zamani zilizozoeleka)
> Usitembee nayo simu ya zamani katika gari yako hata kama umeizima,kwa sababu simu za kisasa zinaendelea kuonekana katika GPS hata kama hazipo ONLINE
7. KOSA LA SABA TUNALOFANYA WATEKWAJI.
Kuitikia wito wa watu tusiowajua kwa Tamaa ya fedha au Ngono
Watekaji ukijihami, No3, No4 na No5 kwa Maana kuepuka kukaa ameneo hatarishi,na kisha ukawa una kampani ya kutembea nayo wakati wote
Huja na Njia ya Kukuita kupitia
1. Kukutamabisha Deal za Biashara na kujifanya kuwa mnajuana katika biashara zako,hivyo angependa muonane Mpange namna nzuri ya kufanya biashara
Na wakati unasogea eneo hilo linakuwa limezungukwa na watu hao wanakuona kuanzia unakuja mpaka unakaa na kisha wao uamua wakuchukuaje
Mara Nyingi wanakuita Maeneo ambayo yanaendana na No4 na No 5 ili kufanikisha zoezi la wao kukuchukua bila kupata upinzani kwa watu wakiozunguka eneo hilo
2. Kama si Mtu wa Baishara, basi hutumia njia ya kukutamanisha NGONO, kwa kumtuma Mdada Mwenye sauti Nyororo kukuomba Mkutane huku akijifanya anakujua Sana.
Kwa Tamaa ya Ngono, mrembo au Mwanaume huyo humuita Mlengwa sehemu ileile ambayo haitakuwa rafiki kwa No4 na No5 ili kusaidia kukukamata kirahisi.
Wakati wote wa mazingira hatarishi,wakati matukio yabutekwajo yameshamiri epuka kupokea wito na kuitikia wito w MTU usiye mfahamu au kuwahi kumuona
5. KOSA LINGINE NI KUKAA/KUSHINDA MAENEO HATARISHI
Wewe upo katika kundi tajwa namba 4 hapo juu,
usikubali kwenda kutembea Maeneo yafuatayo
1. Maeneo yenye Watu wahache
2. Maeneo au Majengo ya Vyombo vya Serikali, ni rahisi kuficha taarifa zao
3.Maeneo yenye Misitu,Vichaka au Mapori, ambayo utakosa Msaada wa haraka
4. Maeneo ya Kiza au Ukimya, sababu Kelele na Mbio hazitokusaidia
5. Maeneo yenye makazi Machache, wanatabia kutokutoka nje kusaidiana na Majirani
6. Maeneo uliyozoea kutembele,badili hapo kipindi hichi cha hatari
7. Chagua maeneo Machache ya kutembelea hasa wakati wa hatari, Iwe rahisi kujua wanaokufuatilia
PUNGUZA MIZUNGUKO,SHINDA MAENEO SALAMA no3 Juu
8. KOSA LA NANE LA WATEKWAJI
> Kushinda eneo Moja kwa Muda Mrefu,Vijiweni,kumbi za starehe au Kazini
Ni jambo dogo lakini kubwa Sana,kwa watu wenye taaluma ya utekaji au Ufuatiliaji wa watu basi watu wenye tabia ya kukaa eneo moja zaidi ya Masaa 2 au 3 ni rahisi sana katika operwsheni za kuwachukua
Wanampatia Adui
> Muda wa kujipanga
> Muda wa kusoma idadi ya watu ulio nao
> Muda wa kuwakadiria nguvu au Nyenzo mnayoitegemea endapo wataanzisha ambush ya kukuchukua
> Unampa Adui Muda wa kuita wenzie pale anapogundua kuwa zoezi la kukuchukua litachukua Muda Mrefu au litakutana na Upinzani,basi huita Vikosi zaidi
> Unampa adui namna ya kuanza Kuyazoea maeneo hayo na Kujifunza tabia za watu au eneo la tukio
Mfano
- Pana walinzi?
- Pana mtu mwenye silaha?
- Pana Mtu anayeweza kuzia kwa nguvu?
- Kuna Camera zitaona?
Njia Pekee ni kuwa na Machale,tumia mida Michache Sana, katika Cikao au mikutano yako kila sehemu unayoenda na Unapoondoka eneo hilo
> Acha kinywaji Mezani wajue unarudi
> Ondoka kwa style ya kujifanya unaongea na Simu pembeni
> Ondokea njia ya kwenda Chooni,wajue unarudi
> Jifanye unampokea Mtu parking
> Omba wenzio wakusindikize mpaka kwenye gari
> Acha kulioa billi hadharani,acha pesa Mezani, wasikadirie Tendo lako linalofuata
9. KOSA LA 9 LA WATEKWAJI
Kushindwa Kuishi Mazingira sawa na hadhi ya kazi anayofanya
Hapa naongelea tena wale wote walengwa wa kundi la Utekwaji siyo tuh Tanzania bali Duniani,
> Wakosoaji wa Serikali
> Wakosoaji wa wanasiasa
> Wakosoaji wa wafanyabiashara wakubwa
> Wakosoaji wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama
> Waandishi wa habari za Uchunguzi
> Wapigania Haki za Binadamu
> Wakosoaji katika Mitandao ya Jamii
> Wapelelezi wa kujitegemea na
> Watu Mashuhuri wanaotangaza Misimamo yao hadharani kinyume na Watu wenye mamlaka
Wanafanya kazi Hatarishi lakini wanaishi na kupenda kukaa Maneo yasiyo na Ulinzi au hadhi ya wapambanaji kama wao
Wanafanya makosa Sana pale
1. Wanapokosa magari,Unasikia wamekamatwa kwenye kituo cha Daladala
2. Wanaishi maeneo ambayo hayana Ulinzi maalum,Siyo getini tuh hata Mitaani hakuna sungusungu
3. Wanaishi Nyumba ambazo hazina Camera za kunasa Matukio
4. Magari yao hayafungwi Camera za mbele na nyima za Kuchukua Matukio
5. Simu wanazotumia kufanyia Ukosoaji in Public ndizo wanazo tumia kwa Shughuli zao binafsi
6. Wanashinda maeneo yasiyo na Ulinzi na hata camera za matukio
7. Wanakosa Hata silaha Ndogo za kujihami kwa Sababu zinauzwa ghali
8. Wanakaa kwemye makazi yanayoendana na Kipato siyo yanayoendana na kazi zao
9. Wanataka waishi Maisha ya starehe na huru kama Raia wa kawaida bila kujali hatari ya kazi au shughuli anayofanya
10. Wanarespond mazungumzo na watu wageni wasiowajua wakidhani ni kwa sababu ya umaarufu wao wala awajui kuwa ni Maadui zao
10. KOSA LA UOGA POTOFU
Watekwaji wanapaswa kujua kuwa, wanaokuja kuwateka hawajaja kuwaua.
Actually zoezi la kuwaua watekwaji ni rahisi kuliko zoezi za kuondoka na uhusika
Kama watekaji Nyara wangetaka kukuua
> Wasingekuja wengi
> Wasingeshuka kwenye gari,wange shoot
> Wasinge subiria wakufuate Mtaani,wangekufuata Nyumbani kukuua
Watekwaji wengi wanadanganyika na Silaha za watekaji ambazo katika zoezi la Utekwaji wao,naziona kama Mapambo
Silaha kubwa na mbaya Wakati wa Kutekwa ni GARI YA KUKUBEBA siyo BUNDUKI
zingatia utakapokuwa unaanzisha Varangati au mbio,ondoa kabisa Wasiwasi kwamba wata ku shoot kukuua
Kuwa huru kimbia Usilisogelee gari lao
Kimbia kabisa wasikuongize ndani ya gari
Kimbia kabisa Wakati unaongea Pawe na Distance na Mlango wa wewe kutupwa ndani ya gari,mfano ruka Mtaro kaa ng'ambo ya pili,vuka barabara pambana upande wa kulia wa gari pasipo na Mlango
Katika zoezi la kutekwa Ogopa gari usiogope Bunduki
Hata hivyo ni heri tukukute umejeruhiwa ua kuuwawa barabarani kwa Sababu hata huko unapopelekwa huna uhakika kama utarudi ukiwa hai.
Kumbuka: Ukitekwa ndo muda sahihi wa kutumia silaha yako. Piga ya kichwa, choma kifuani. Jihami. Self defense.
Hii inatokea mara Nyingi, mtekwaji anachukuliwa kwa kuaminishwa na Watekaji kuwa ni Maofisa Sahihi kwakuonyeshwa Vitambulisho.
KOSA: Ni kuamini kila Ofisa ni Mkamataji mwema, Watekwaji wanakosa muda wa Kuomba watu wa jirani hata wapita Njia
> Kuongozana naye
> Kufuatilia gari
> Kuwataka Maofisa hao waende naye kwa pamoja kituo cha jirani cha polisi
> Kushindwa kuomba wqpita njia wapigie simu Ndugu,jamaa na Marafiki
BADALA YAKE
Mtekwaji anategemea kupata Haki hizo au ushirikiano huo huko anapopelekwa
MAKOSA 10 TUNAYOFANYA WAKATI TUNATEKWA
1. Watu wanaokuja Kututeka mara Nyingi, huwa tunawaona hawapo katika utaratibu Rasmi wa Ukamataji kama Wanavyofanya Jeshi la polisi.
> Hawavai Uniforms
> Huja na magari ya kiraia
> Hawaonyeshi Vitambulisho
> Hutumia Nguvu badala ya Mashauriano au Maelewano.
KOSA: Ni kukubali kutoa Ushirikiano kwa watu hao, Kuogopa watakudhuru au kukuumiza wakati wa Mvutano
Wakati Ukweli ungepiga kelele kuita watu, au kuburuzwa au kujaza watu ungepata Msaada.
Ikibidi kama watakuua Bora wakuue Mwenge tuokote Maiti, kuliko kudhani bunduki zile aziwezi kukudhuru huko unakokwenda
4. KOSA LA NNE
Wale wenye Wasi wasi au Mashaka na Mwenendo wao kuhusika na utekwaji kukosa kampani katika Matembezi
Hawa ni
> Waandishi wa habari za Uchunguzi
> Wakosoaji wa mitandaoni
> Wanasiasa wa upinzani
> Watumashuhuri wasio kubakiana na Matendo au Mwenendo wa Serikali
Kama Upo Kwenye kundi hilo kwa nini Utembee Peke yako hata unapokuwa jirani na Maeneo au Makazi yako
Kumbuka kesi nyingi za Utekaji ni
> Kukosekana kwa taarifa za haraaka
> Kukosekana mtoa taarifa wa haraka
> Kukosekana anaye kariri namba za usafiri uliochukuliwa nao
> Kukosekana mpiga picha wa Matukio ya utekwaji
Basi kwa Namna hiyo, Usikubali kuwa katika Matembezi binafsi na kukosa Kampani kila Mara, mpaka pale hali ya hatari itakapo tulia
3. KOSA LA TATU
Kutaka mashauriano, mabishano ya kisheria, na maridhiano badala ya kujihami
Wanaokuja kukuteka wanajua wanavunja Sheria, Wanajua we unajua PGO na sheria zote za Makosa ya Jinai na Mwenendo wake, Achana na ubishi
SULUHU NI KUKIMBIA
Ndio naongelea Mbio, hizo hizo unazojua, je unakimbia kwenda wapi?
Mbio zako ziwe kuelekea
> Kituo cha jirani cha polisi
> Au kwa Polisi ofisa
> Kambi za jeshi
> Ofisa wa Jeshi
> Kama upo barabarani nenda hata kwa trafiki Ofisa
Hawa wote wakishuhudia ukamatwaji wako, Dhama itakuwa juu yao
Pia unaweza kukimbia kuelekea katika Maeneo au Majengo ya umma
> Ingia Sokoni
> Ingia Vyuoni au shuleni
> Ingia kanisani au Msikitini
> Ingia katika vituo vikubwa au vidogo vya daladala
Huko kote watakuwa na uwezo wa kukukamata wala siyo kukuteka, utapata support ya wananchi
6. KOSA LA SITA TUNALOFANYA WATEKWAJI
Kuendelea Kutumia Njia za Mawasiliano na Usafiri zile zile hata wakati tupo kwenye alert ya hatari
> Unaendelea kutumia Simu hiyohiyo
> Unaendelea kutumia line ya simu hiyohiyo
> Unaendelea kutumia Magari au Pikipiki zilezile hata baada ya kusikia fununu ya kufuatiliwa na watu usio wajua
> Kuendelea kupita njia zile zile wakati wa kurudi Nyimbani au kutoka Nyumbani hata wakati wa taarifa za kufuatiliwa kwako
> Kuendelea kutembelea Maeneo ya Starehe au Vijiwe vile vile hata wakati wa hatari
> Huo ni uzembe, Simu yako ikiwa inawaka ujue Watekaji wanakuona moja kwa moja.
> Kama unabadili line basi hakikisha unabadili na simu,na usiweke line ya zamani katika simu Mpya kwa sababu,Taarifa za mabadiliko ya line yako katika simu yatasomeka katika taarifa Mpya ya IMEI chequer124
Itaonyesha Mtumiaji wa simu fulani sasa ameweka line fulani kwenye simu fulani baada ya kutoa ile line fulani.
(Acha kutumia simu na line ya zamani zilizozoeleka)
> Usitembee nayo simu ya zamani katika gari yako hata kama umeizima,kwa sababu simu za kisasa zinaendelea kuonekana katika GPS hata kama hazipo ONLINE
7. KOSA LA SABA TUNALOFANYA WATEKWAJI.
Kuitikia wito wa watu tusiowajua kwa Tamaa ya fedha au Ngono
Watekaji ukijihami, No3, No4 na No5 kwa Maana kuepuka kukaa ameneo hatarishi,na kisha ukawa una kampani ya kutembea nayo wakati wote
Huja na Njia ya Kukuita kupitia
1. Kukutamabisha Deal za Biashara na kujifanya kuwa mnajuana katika biashara zako,hivyo angependa muonane Mpange namna nzuri ya kufanya biashara
Na wakati unasogea eneo hilo linakuwa limezungukwa na watu hao wanakuona kuanzia unakuja mpaka unakaa na kisha wao uamua wakuchukuaje
Mara Nyingi wanakuita Maeneo ambayo yanaendana na No4 na No 5 ili kufanikisha zoezi la wao kukuchukua bila kupata upinzani kwa watu wakiozunguka eneo hilo
2. Kama si Mtu wa Baishara, basi hutumia njia ya kukutamanisha NGONO, kwa kumtuma Mdada Mwenye sauti Nyororo kukuomba Mkutane huku akijifanya anakujua Sana.
Kwa Tamaa ya Ngono, mrembo au Mwanaume huyo humuita Mlengwa sehemu ileile ambayo haitakuwa rafiki kwa No4 na No5 ili kusaidia kukukamata kirahisi.
Wakati wote wa mazingira hatarishi,wakati matukio yabutekwajo yameshamiri epuka kupokea wito na kuitikia wito w MTU usiye mfahamu au kuwahi kumuona
5. KOSA LINGINE NI KUKAA/KUSHINDA MAENEO HATARISHI
Wewe upo katika kundi tajwa namba 4 hapo juu,
usikubali kwenda kutembea Maeneo yafuatayo
1. Maeneo yenye Watu wahache
2. Maeneo au Majengo ya Vyombo vya Serikali, ni rahisi kuficha taarifa zao
3.Maeneo yenye Misitu,Vichaka au Mapori, ambayo utakosa Msaada wa haraka
4. Maeneo ya Kiza au Ukimya, sababu Kelele na Mbio hazitokusaidia
5. Maeneo yenye makazi Machache, wanatabia kutokutoka nje kusaidiana na Majirani
6. Maeneo uliyozoea kutembele,badili hapo kipindi hichi cha hatari
7. Chagua maeneo Machache ya kutembelea hasa wakati wa hatari, Iwe rahisi kujua wanaokufuatilia
PUNGUZA MIZUNGUKO,SHINDA MAENEO SALAMA no3 Juu
8. KOSA LA NANE LA WATEKWAJI
> Kushinda eneo Moja kwa Muda Mrefu,Vijiweni,kumbi za starehe au Kazini
Ni jambo dogo lakini kubwa Sana,kwa watu wenye taaluma ya utekaji au Ufuatiliaji wa watu basi watu wenye tabia ya kukaa eneo moja zaidi ya Masaa 2 au 3 ni rahisi sana katika operwsheni za kuwachukua
Wanampatia Adui
> Muda wa kujipanga
> Muda wa kusoma idadi ya watu ulio nao
> Muda wa kuwakadiria nguvu au Nyenzo mnayoitegemea endapo wataanzisha ambush ya kukuchukua
> Unampa Adui Muda wa kuita wenzie pale anapogundua kuwa zoezi la kukuchukua litachukua Muda Mrefu au litakutana na Upinzani,basi huita Vikosi zaidi
> Unampa adui namna ya kuanza Kuyazoea maeneo hayo na Kujifunza tabia za watu au eneo la tukio
Mfano
- Pana walinzi?
- Pana mtu mwenye silaha?
- Pana Mtu anayeweza kuzia kwa nguvu?
- Kuna Camera zitaona?
Njia Pekee ni kuwa na Machale,tumia mida Michache Sana, katika Cikao au mikutano yako kila sehemu unayoenda na Unapoondoka eneo hilo
> Acha kinywaji Mezani wajue unarudi
> Ondoka kwa style ya kujifanya unaongea na Simu pembeni
> Ondokea njia ya kwenda Chooni,wajue unarudi
> Jifanye unampokea Mtu parking
> Omba wenzio wakusindikize mpaka kwenye gari
> Acha kulioa billi hadharani,acha pesa Mezani, wasikadirie Tendo lako linalofuata
9. KOSA LA 9 LA WATEKWAJI
Kushindwa Kuishi Mazingira sawa na hadhi ya kazi anayofanya
Hapa naongelea tena wale wote walengwa wa kundi la Utekwaji siyo tuh Tanzania bali Duniani,
> Wakosoaji wa Serikali
> Wakosoaji wa wanasiasa
> Wakosoaji wa wafanyabiashara wakubwa
> Wakosoaji wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama
> Waandishi wa habari za Uchunguzi
> Wapigania Haki za Binadamu
> Wakosoaji katika Mitandao ya Jamii
> Wapelelezi wa kujitegemea na
> Watu Mashuhuri wanaotangaza Misimamo yao hadharani kinyume na Watu wenye mamlaka
Wanafanya kazi Hatarishi lakini wanaishi na kupenda kukaa Maneo yasiyo na Ulinzi au hadhi ya wapambanaji kama wao
Wanafanya makosa Sana pale
1. Wanapokosa magari,Unasikia wamekamatwa kwenye kituo cha Daladala
2. Wanaishi maeneo ambayo hayana Ulinzi maalum,Siyo getini tuh hata Mitaani hakuna sungusungu
3. Wanaishi Nyumba ambazo hazina Camera za kunasa Matukio
4. Magari yao hayafungwi Camera za mbele na nyima za Kuchukua Matukio
5. Simu wanazotumia kufanyia Ukosoaji in Public ndizo wanazo tumia kwa Shughuli zao binafsi
6. Wanashinda maeneo yasiyo na Ulinzi na hata camera za matukio
7. Wanakosa Hata silaha Ndogo za kujihami kwa Sababu zinauzwa ghali
8. Wanakaa kwemye makazi yanayoendana na Kipato siyo yanayoendana na kazi zao
9. Wanataka waishi Maisha ya starehe na huru kama Raia wa kawaida bila kujali hatari ya kazi au shughuli anayofanya
10. Wanarespond mazungumzo na watu wageni wasiowajua wakidhani ni kwa sababu ya umaarufu wao wala awajui kuwa ni Maadui zao
10. KOSA LA UOGA POTOFU
Watekwaji wanapaswa kujua kuwa, wanaokuja kuwateka hawajaja kuwaua.
Actually zoezi la kuwaua watekwaji ni rahisi kuliko zoezi za kuondoka na uhusika
Kama watekaji Nyara wangetaka kukuua
> Wasingekuja wengi
> Wasingeshuka kwenye gari,wange shoot
> Wasinge subiria wakufuate Mtaani,wangekufuata Nyumbani kukuua
Watekwaji wengi wanadanganyika na Silaha za watekaji ambazo katika zoezi la Utekwaji wao,naziona kama Mapambo
Silaha kubwa na mbaya Wakati wa Kutekwa ni GARI YA KUKUBEBA siyo BUNDUKI
zingatia utakapokuwa unaanzisha Varangati au mbio,ondoa kabisa Wasiwasi kwamba wata ku shoot kukuua
Kuwa huru kimbia Usilisogelee gari lao
Kimbia kabisa wasikuongize ndani ya gari
Kimbia kabisa Wakati unaongea Pawe na Distance na Mlango wa wewe kutupwa ndani ya gari,mfano ruka Mtaro kaa ng'ambo ya pili,vuka barabara pambana upande wa kulia wa gari pasipo na Mlango
Katika zoezi la kutekwa Ogopa gari usiogope Bunduki
Hata hivyo ni heri tukukute umejeruhiwa ua kuuwawa barabarani kwa Sababu hata huko unapopelekwa huna uhakika kama utarudi ukiwa hai.
Kumbuka: Ukitekwa ndo muda sahihi wa kutumia silaha yako. Piga ya kichwa, choma kifuani. Jihami. Self defense.