"Hata kama ni mumeo ila mimi unaniuzi"
Ni maneno yaliyonifanya nisome vizuri texts za huyu jirani yangu hapa kwenye bus la kwenda Dodoma usiku huu.
Ni mzee wa makamo kama na 45-50 hivi. Binti anamuita dady na anasema anataka waleane asimuache.
Mzee anamwambia unanisumbua kwa sababu sijakununulia smartphone ya laki 5, akimuahidi binti ampe wiki 2 atapata hiyo laki 5 ya smartphone.
Aisee mke wa mtu anabembeleza penzi kwa huyu mzee na kutaka anunuliwe simu mpya
Kama mume katika ndoa mpya , nimeumia kwa aajili ya huyo mume wa huyu mke ambaye anachepuka na huyu mzee
Kwa aliye kwenye ndoa na utaona mkeo kapata simu mpya ya laki 5 hadi 6 , mali yako inaliwa
Ukuda Pro MaxUmewezaje kusoma yote hayo toka kwenye simu ya mtu?
Ukuda Pro MaxUmewezaje kusoma yote hayo toka kwenye simu ya mtu?
Ni huzuni yaniMzee ana uhakika wa kupata 500K ndani ya wiki mbili.
Vijana tunalipwa 250 kwa mwezi.
Toiling kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 1 usiku.
Na unashangaa ni kivipi binti anaita mtu Dady
Ameseviwa kwa jina la Pendo ........ Majina mengine simalizii
Mke wangu haitwi hivyo
make sure unakuja kunizika man umekwazika sanaKwahyo Wewe unajisifia Kwa kujishuhulisha na mambo yasiyo kuhusu, Daah presha itakuja kukuondoa mapema sana
Sent from my TECNO LE6 using JamiiForums mobile app
Af mtoto wa kiume sio poaUkuda Pro Max
SUbiri afike umri huo tuone atajiitajeKweli siku hizi life expectancy emeshuka sana. Miaka 45 ni Mzee wa Makamo?
atairudisha alipoitoaMara paaap Usher wiki ijayo mkeo ana simu mpya
Ujana mwisho 35Kweli siku hizi life expectancy emeshuka sana. Miaka 45 ni Mzee wa Makamo?
Eti " Daddy usiniche, nakupenda sana tuleane"Mzee ana uhakika wa kupata 500K ndani ya wiki mbili.
Vijana tunalipwa 250 kwa mwezi.
Toiling kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 1 usiku.
Na unashangaa ni kivipi binti anaita mtu Dady
Eti " Daddy usiniche, nakupenda sana tuleane"
Nifikiria wale vijana wa kataa ndoa, wana hoja sana
Toka nimeoa, sishangilii tena nikiona wake za mtu wanapigwa na wahuni