Hata hiki kidubwasha tunaagiza China!

Sawa tumekuelewa, haya tuambie nawewe umegundua nn kweli hili taifa bwana mjuaji.?
 
Hicho ni kitu kikubwa sana,
Toothpick yenyewe tunaagiza China. Haihitaji hata utaalam wowote wala haina mechanism yoyote ile useme hatuwezi kutengeneza.
Ukiitengeneza hapa nyumbani utaandamwa na kodi, ushuru, tozo na mkusanyiko wa mamlaka hadi iwe ghali kuliko itokayo China.
 
Huko wanaenda kujaza vyoo tu
Na wakitoka huko na vyeti vyao wanatafuta ajira serikalini ili waje kutuomba rushwa ya lazima hata kama unataka ku renew kitu
 
View attachment 2879915

Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!


Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?

Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisa.

Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?

Nchi ya ajabu sana hii...
Hiki kikubwa sana! Office pin mnatengeneza wapi?
 
Unashangaa hicho kidude!?

Mimi nilishangaa Toothpick (vile vijiti vya kutolea mabaki ya nyama/chakula kwenye meno) vya jero eti vinatoka China
 
Teh teh teh koh koh koh aaaarrrhhh.

Kwa hiyo mkuu kunya sahihi ndiyo kunyaje huko, au mtu hadi apelekwe kozi akajifundishe kunya ndiyo aweze kunya sawa sawa?
Kweli unakuta mtu hajui kwamba unapokata gogo hutakiwi kusukuuuuuma la. Ni unavuta pumzi nyingii unaitoa, shuuuuush... mambo yanaenda menyewee.

Aani ni kama meditation vile😂😂

Unakuta mtu badala atoke kukata gogo ametabasamu, anatoka amekunja sura utadhani alikuwa anagombana. Ujinga tu.

Halafu usiwashangae hao wa kujisaidia, kitu ambacho unajifunza utotoni ndio hadi ujue. Kuna vitu mtu unazaliwa unafanya lakini watu hawakijui. Kupumua kwa mfano. Wapo watu kibao tu hawajui kupumua. Wengi tu😳. Wengi sana

Mnabisha! Unabisha eeeh!??...... basi ingia Youtube, tazama search 'proper breathing technique' au how to breathe well angalia, elewa: halafu jipe maksi
 
Ila inafikirisha sana, inafika hatua mimi ambae sijawahi kwenda shule kabisa naona bora hata mimi najua kushawishi mtu anunue bidhaa zangu.
 
Sawa tumekuelewa, haya tuambie nawewe umegundua nn kweli hili taifa bwana mjuaji.?
Mimi natengeneza hii mzee baba
20230707_071253.jpg
 
Mleta uzi tunaomba utuonyeshe ugunduzi wako ujitoe kwenye kundi la watanzania wajinga😁😁😁😁
Mm siyo mgunduzi na wala sina elimu ya chuo, ninacholaumu ni ninyi mliofika hadi chuo kikuu mnashindwa kutoa ugunduzi utakaotufaidisha hata sisi tusiokuwa na elimu ya chuo kikuu!...
Ni hayo tu kwa leo.
 
View attachment 2879915

Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!


Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?

Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisa.

Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?

Nchi ya ajabu sana hii...
V8 LC300 tunaagiza Japan pia
 
Kaka, hatuna stainless steel. Tukitengeneza vya kwetu tutaweka mabati yanashika KUTU siku mbili tu. Sisi tuache tuendelee kufurahia porojo za chalamila. BURE KABISA
 
Mm siyo mgunduzi na wala sina elimu ya chuo, ninacholaumu ni ninyi mliofika hadi chuo kikuu mnashindwa kutoa ugunduzi utakaotufaidisha hata sisi tusiokuwa na elimu ya chuo kikuu!...
Ni hayo tu kwa leo.
Kwanza tuanzie hapa,wewe Kwa Nini hukufika chuo kikuu?sisi wakati tunapambana na masomo wewe ulitakiwa uwe hata umegundua kitu maana sisi wenzio huko chuo kikuu tulikuwa hatujifunzi ufundi
 
Kaka, hatuna stainless steel. Tukitengeneza vya kwetu tutaweka mabati yanashika KUTU siku mbili tu. Sisi tuache tuendelee kufurahia porojo za chalamila. BURE KABISA
Mmmh hiyo I'd yako hutokaa ukaribishwe ikulu Wala Kizimkazi
 
Kwanza tuanzie hapa,wewe Kwa Nini hukufika chuo kikuu?sisi wakati tunapambana na masomo wewe ulitakiwa uwe hata umegundua kitu maana sisi wenzio huko chuo kikuu tulikuwa hatujifunzi ufundi
SWALI: Kama tungesoma wote, nani angetawaliwa?.
Huku mtaani bila elimu huo ufundi ningejifunzaje?.
Nadhani twende kwanza na swali juu ya swali kabla ya majibu sahihi.
 
Daaah!!! Vyuoni huko ni nadharia na kukariri kwa sana.

Ukianza kufikiri nje ya boksi unakuta unaenda njia tofauti na lecturers unaliwa kichwa na habari yako inaishia hapo.

Elimu yetu bado ni tatizo, inalaza watu usingizi sana.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom