screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Kama kweli una nia ya kuupeleka mbele mchezo wa boxing bongo acha kupigana na aina hii ya wapinzani, hawatakupeleka popote.
Mtu ana loss 24 unapigana naye ili iweje, ili akupeleke wapi? He is nobody kwenye boxing, hata ukishinda no one cares, kwenye boxing watu wa namna hii tunawaita 'journeyman'.
Tangia umepigana na Sam Eggigton ambaye ni bondia anayetambulika na kukupeleka juu sana kwenye rating hujapigana tena na bondia wa maana, yaani wewe kwenye ranking uko no19 dunia nzima kwanini usiombe pambano na mabondia ambao at least wako top 50? Badala yake unapigana na bondia no190?
This is nonsense, ile ndoto ya kupigana na watu kama kina Kell Brook ilifia wapi?
Mtu ana loss 24 unapigana naye ili iweje, ili akupeleke wapi? He is nobody kwenye boxing, hata ukishinda no one cares, kwenye boxing watu wa namna hii tunawaita 'journeyman'.
Tangia umepigana na Sam Eggigton ambaye ni bondia anayetambulika na kukupeleka juu sana kwenye rating hujapigana tena na bondia wa maana, yaani wewe kwenye ranking uko no19 dunia nzima kwanini usiombe pambano na mabondia ambao at least wako top 50? Badala yake unapigana na bondia no190?
This is nonsense, ile ndoto ya kupigana na watu kama kina Kell Brook ilifia wapi?