Ok ngoja nichukue ushaur wako nimfuatilie kwa umakini niangalie hiyo mikogo yake/swagger nikikuta zina namna yoyote ya unayo yasema nitaleta mrejesho hapa!
]Aaaaaaaaaaaaaaaa ebu Acheni hizo anajivunia kazi yake na anaipenda kazi yake sasa nn anzisha tv yako[/QUOTE
Kaka TBC ni ya UMMA, hivyo inauma sana ikigeuzwa Stage show ya huyo bwana huyo!
Nimemwangalia mara nyingi sana Hassan Marin wa tv ya TBC akuwahoji watu akionyesha mkao wa dharau na kutoonyesha interest yoyote wala heshima kwa anaowahoji. Body language yake iko negative kabisa na maswali yake hayako ingaging. Unahitaji kuwa mvumilivu sana kuongea na huyu mtu. Sasa hivi anaongea na mkemia mkuu wa serikali ambaye ni profesa lakini Marin kakunja nne na kumtambulisha as if the professor is a nobody.
Anatakiwa arekebishwe au aondolewe hapo
Kweli mkuu na mleta hoja inaelekea ana heshima kwa kundi maalumu la watu wakati katiba inatuambia binadamu wote ni sawa, sasa yeye anasema "Sasa hivi anaongea na mkemia mkuu wa serikali ambaye ni profesa lakini Marin kakunja nne na kumtambulisha as if the professor is a nobody."which means kama asingekuwa anaongea na prof ni sawa kutokana na pozi alilopiga ila kwa prof hakustahili. Hii kumuhoji mtu huku kila dakika unatakiwa kutaja mheshimiwa sijui kunafanya watangazaji mpaka wanapoteza hata nini alitakiwa kuhoji na mbaya zaidi hao wanaonyenyekewa kwa uheshimiwa ukiangalia file lake la miaka 5 nyuma utagundua alikuwa wa kawaida ila majukumu tuliyompa wananchi yamemfanya aitwe mheshimiwa. Kuna haja mtu aitwe mheshimiwa kutokana na kile alichofanya kwenye jamii kwa juhudi zake mwenyewe kama mkulima stadi, fundi mitambo mahiri, mlina asali maarufu, hata mwanasiasa ila mwenye tija kutokana na fursa. Marin piga kazi kwani huwezi kupendwa na kila mtuMarin ni kati ya watangazaji mahiri kabisa ndani ya tanzania. Pia ana uelewa mpana sana, TBC ina waandishi makini wengi.
Tuwe makini kabla ya kuleta hoja hapa. Tuheshimu kazi za wenzetu, na tbc ni chombo chetu cha taifa.
Poor Marin, ni mtu mwenye general knowledge hivyo hawezi kuwa na uwezo wa kuwa na maswali ya kina kwa kila sector, ni vizuri ajifunze kuwaachia wengine wenye uelewa mzuri kuhusu kitu fulani ndio wakafanya mahojiano. Siasa yeye, uchumi yeye, ukemia yeye, maendeleo ya jamii yeye, elimu yeye, usalama yeye, kila kitu.Nimemwangalia mara nyingi sana Hassan Marin wa tv ya TBC akuwahoji watu akionyesga mkao wa dharau na kutoonyesha interest yoyote wala heshima kwa anaowahoji. Body language yake iko negative kabisa na maswali yake hayako ingaging. Unahitaji kuwa mvumilivu sana kuongea na huyu mtu. Sasa hivi anaongea na mkemia mkuu wa serikali ambaye ni profesa lakini Marin kakunja nne na kumtambulisha as if the professor is a nobody.
Anatakiwa arekebishwe au aondolewe hapo
Marin ni kati ya watangazaji mahiri kabisa ndani ya tanzania. Pia ana uelewa mpana sana, TBC ina waandishi makini wengi.
Tuwe makini kabla ya kuleta hoja hapa. Tuheshimu kazi za wenzetu, na tbc ni chombo chetu cha taifa.
Mbona kila siku mnaikejeli tv ya Taifa?