Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,434
- 2,239
Hakika Naipongeza Mahakama za Kenya kwa Uamuzi wake wa kukataa Kubinafsishwa kwa Bandari ya Mombasa kulikotaka kufanywa na Serikali.Uamuzi huo Umeikasirisha sana Serikali ya Kenya Kwanza na kupelekea Rais Ruto kutoa Matamshi yaliyozua Mjadala mkubwa Nchini Kenya
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app