TAKUKURU mko wapi?, Nikiwa kama mwandishi wa habari wa kujitegemea, nimepiga kambi hapa Dodoma kufuatilia kwa karibu uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF) tangu zilipoanza Kampeni 7/08/2017. Kuna Askari POLISI mmoja anaitwa HASHIM MDHIHIRI ABDLLAH anatumiwa na wagombea RICHARD SHIJA na MULAMU NGHAMBI kugawa rushwa kama njugu tena waziwazi bila aibu. Richard Shija anagombea nafasi ya rais wa TFF wakati MULAMU NGHAMBI anagombea nafasi ya Makamu wa Rais wa TFF. HASHIM MDHIHIRI ni LIASON OFFICER wa TFF.
Nikirudi Dar es Salaam nitaandika Makala kuhusu uchguzi huu.
Nikirudi Dar es Salaam nitaandika Makala kuhusu uchguzi huu.