ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,642
- 3,268
OKC ipo NBA nisaidie mkuu??
Yes OKC ipo NBA ila Hasheem hachezi uko......kwasasa yupo Grand Rapids Drive , ambayo ipo D-League
OKC ipo NBA nisaidie mkuu??
Inaweza mchukua mda gani kuwa sawa na kurudi kucheza ktk NBA tokea uko D-leage??
Mungu amsaidie
Huyu Jamaa ni Boya sana Marekani Wanamuona kama Obote wa Vijana Zamani Cargo Kubwa Jing Hata Dunk anamwaga yaani anashindwa Kutumbukiza
Yuko OKC
You can see i'm ghetto and fabolous......Congrats to Hashim. He is making Tanzania proud. He is showing them that even as Tanzanians can do it. As long as he stays humble I'm sure he will be a big success and he will go a long way(no pun intended).
Tupe mrejesho Mkuu.Kaka jamaa yupo D-League sasa huko Michigan...
OKC walimtrade Sixers, nao wakamu-waive kwenda Pistons kabla ya kutemwa...
Then timu ya D-League (Grand Rapids Drive) iliyo affiliated na Pistons ikamchukua baada ya kukataa offers kadhaa za kwenda Euroleague...
So far anafanya vizuri na anafika hadi double figures si kama alivyokuwa NBA...
wenyewe watakwambia as follows siyo as following,Hii lugha ya malkia aisee ni shida..nimejikuta npo page ya 15 Bila hata kusoma thread. But na mm nichangie kdogo hii mada as following:-
Ni kwer ZAHERA kafukuzwa lakin naona sio sahihi kabsa kwasababu alikuwa kama MO wetu hapa jangwani. Sasa sjui huyo kocha mpya hashim thabeete Kam ataweza kutupatia pesa kama mutu ya Kongo papaa wa Kusinya...
ujio wa hashim thabeete hapa YANGA sjui kama utaleta manufaa kwasababu CV yake inaonesha hana mafanikio sana hasa kwenye hyo timu yake sjui NBA kama mleta maada alivyosema Hapo JUU
OLU IN OLU WELICUMU HASHIM THABEETE INI DARESALAMU YANGI AFRIKANI SIPOTI KILABU
naomba kuwasilisha!!!!!!!!!!!!!!
Tupe mrejesho Mkuu.
He's a free agent...
Tryin to work his @ss back into NBA...
So far amefanya workouts na Bucks, Knicks na Warriors....