Nimeichukua hii naiweka waaah!Ukitaka ufurahie kua introvert kua na skills ambazo unazijua ukweli wa kuzijua maisha yatakua mazuri maana utapata connections kutokana na ujuzi wako ila ukiwa average utaishi maisha ya upweke sana na michongo mingi itakupita.
Binti Jitegemee..naomba rudisha ile Avatar..ilikuwa inakuwakilisha vyemaWewe ni mchoyo, usisingizie introvert traits. 😃
Mimi napenda usafi kuliko maelezo niko tayari kurudia nguo kila siku ata mwaka mzima ila iwe tu imefuliwa ni safi fashioni hazinisumbui usafi tu na usalama wa eneo ndio kipao mbele changu popote napokuwa naishi.Washikaji wanaopenda jifungia ndani mara nyinhi wanakuaga wachafuuuu...
Ukiingia ghetto yake ndio wale unapata sahani zipo kwa bed, soksi na vinasa vimeanikwa kwa dirisha n.k
Mimi ni super introvertIntroverts wako makundi makundi.
1. Super introvert,
2. Hybrid introvert,
3 Introvert uchwara,
4. Inteovert wakijani,
5. Introvert wekundu,
6. Introvert domo zege,
7. Introvert uchoyo, n.k
introvert unakuaje na mke!!!? introvert ni kupiga nyeto yaan hata bidhaa za uwanja wa fisi shopping center hununui...Tabia ya kupenda kukaa peke yangu bila kuwa na mazoea sana na washakaji ama majirani, kuna siku niliumwa wakuu nikakaa ndani siku nzima nakunywa maji tu hakuna anayejua kama naumwa.
Homa ilinikamata vibaya nje sionekani washakaji na majirani wakajua ndio kawaida yangu kuwa ndani kumbe mwenzao maji ya shingo, niko mbali na familia, wife hayupo.
Nikapiga simu kwa wife, wife akasema huyu jamaa atakufa kwa sababu ananijua sina kampani, wife akasafiri kesho yake akaja ndio ikawa afadhali yangu maana ugonjwa ukiwa peke yako unazidi.
Nikasema nikipona mimi jamani ntatafuta washkaji wa kutembeleana ili nikipata matatizo nisaidiwe, baada ya wiki kupona ndio kwanza nikazidi kujichimbia ndani na vitabu vyangu uchwara😀😀😀
Nashauri wakuu tujitahidini kuwa na watu wa karibu washkaji ama majirani, mimi imenishinda kidogo.
Mimi ujanja wangu mwisho nyuma ya keyboard, sipendi kuzoeana na mtu akileta mazoea nampotezea haraka mno, ni salamu halafu kila mtu aendelee na maisha yake.
At least marafiki waliombali ndio nadumu nao kwa kuwa tunachat na kuongea kwa simu.
hapana ila game za unrespected ndizo zake, na n wataalam wa kutengeneza mazingira then mtu analiwa bila kutarajiaIntrovert=Mtu wa masterbation
yan acha tuJf inatusaidia sana watu wa namna hii
Binti Jitegemee tena !!Binti Jitegemee..naomba rudisha ile Avatar..ilikuwa inakuwakilisha vyema
Introvert anaweza kuwa na mahusianoAya nijuze mkuu nilipokosea nijilekebishe
Eti linafanya uogope kuwa introvert utafikiri ni suala la kutakaWehu wengi wanatokea kundi hili, inanifanya niogope kuwa introvert, najikaza kujibanza kwenye u-extro ila sometimes nashindwa hasa ushosti, (sipendi kufatana fatana na mtu),
Ndo hivyo sina namna tuEti linafanya uogope kuwa introvert utafikiri ni suala la kutaka