Double K
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 907
- 343
Kuna kijana alikua anataka kuoa akamwabia baba yake kaniposee msichana fulani baba yake akamwambia tafuta kwingine yule ni dada yako ila mamako hajui ucmwambie, Kijana akatafuta mwingine baba akamwambia na huyo ni dada yako ila mama yako hajui watatu tena hivyo hivyo kijana akamind akamwambia mama yake, mama yake akamwambia kaoe yoyote kati yao yeye huyo si baba yako ila ye hajui.....duh nani zaidi??