Hasara roho pesa itatafutwa tuu..!!

Hasara roho pesa itatafutwa tuu..!!

Baba Kapompo

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
1,344
Reaction score
468
1618528_435547056572699_1775252443_n.jpg
 
Hahahahaha duh poor girl...wanawake na kupenda hela tunajidhalilisha kisa hayo makaratasi

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Weka number yake, Zile za EPA bado hazijaisha.
 
Ha!ha!ha!Siku hizi wanaume tumekuwa mtaji kweli wanaume tumeubwa mateso unaweza kumpa akaenda kuonga hadi "Pampuchi"
 
Akisema ilove you baby, basi kidume unajua unapendwaaaa,kumbe mpo 4 na wote mmeandikiwa hivyohivyo,na wote mmetuma mpunga kwa baby.
 
Wote hatujui nani anaombwa hiyo pesa..........................
 
Back
Top Bottom