and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,250
- 39,774
Tupende vya kwetu huo ndo uzalendoWatanzania ni wabishi kwa asili. Tulipokuwa hatuna ndege walitaka ndege sasa ni kukosoa tu. Hongera Mheshimiwa
Zero brain!!Watanzania ni wabishi kwa asili. Tulipokuwa hatuna ndege walitaka ndege sasa ni kukosoa tu. Hongera Mheshimiwa
Ni Wazo zuri La ndege ili waruhusu mzunguko wa hela mtaani ili mashetani wengi wapande ndege faida iongezeke maradufuKikundi fulani ama tuseme sehemu ya familia/SACCOS fulani toka kanda yenye mlima mrefu Afrika, wamekuja na hoja dhaifu eti kwa nn tumenunua ndege maana tutapata Hasara! Seriously? South African Airways, KQ, Rwandair hawapati Hasara? Ndege inachagiza maendeleo ya sekta nyingine kwenye uchumi kama UTALII, biashara/uchuuzi...Leo hii mtu anapaa Dar-Mwanza kwa ndege=132,000/= tsh. (1-way) Wakat ndege ya mwana-SACCOS mwenzao ilikuwa 450,000/= tsh. (1-way)
pesa lazima kuzitolea jasho, zile za deals sahau, mifumo imewekwa hakuna mianya ya kupeana pesa kiholela. Mathalani, Malipo serikalini sasa unapewa Control # ili pesa iende panapohusika sio mifukoni pa wajanja wachacheNi Wazo zuri La ndege ili waruhusu mzunguko wa hela mtaani ili mashetani wengi wapande ndege faida iongezeke maradufu
Charity businessMm mimehama kukwea PW&FN sasa nitapanda TC kwenye routes zake. Imagine Dar-Mwanza 83,000 Dar-KIA=68,000 tupewe nini watanzania?
Mifumo yenyewe ya kutolea jasho imekufa.pesa lazima kuzitolea jasho, zile za deals sahau, mifumo imewekwa hakuna mianya ya kupeana pesa kiholela. Mathalani, Malipo serikalini sasa unapewa Control # ili pesa iende panapohusika sio mifukoni pa wajanja wachache
Hio bei ni kama ndege inajaza, isipojaa ni hasara kwa nauli hio.Kikundi fulani ama tuseme sehemu ya familia/SACCOS fulani toka kanda yenye mlima mrefu Afrika, wamekuja na hoja dhaifu eti kwa nn tumenunua ndege maana tutapata Hasara! Seriously? South African Airways, KQ, Rwandair hawapati Hasara? Ndege inachagiza maendeleo ya sekta nyingine kwenye uchumi kama UTALII, biashara/uchuuzi...Leo hii mtu anapaa Dar-Mwanza kwa ndege=132,000/= tsh. (1-way) Wakat ndege ya mwana-SACCOS mwenzao ilikuwa 450,000/= tsh. (1-way)
Unajitahidi kwelu kweli kumeza unayolishwa. Keep on rolling son!Kikundi fulani ama tuseme sehemu ya familia/SACCOS fulani toka kanda yenye mlima mrefu Afrika, wamekuja na hoja dhaifu eti kwa nn tumenunua ndege maana tutapata Hasara! Seriously? South African Airways, KQ, Rwandair hawapati Hasara? Ndege inachagiza maendeleo ya sekta nyingine kwenye uchumi kama UTALII, biashara/uchuuzi...Leo hii mtu anapaa Dar-Mwanza kwa ndege=132,000/= tsh. (1-way) Wakat ndege ya mwana-SACCOS mwenzao ilikuwa 450,000/= tsh. (1-way)
Ukawa wamekaa kukosoa tu. Honestly hatua hii ni ya kupongezwaKusema kweli hadi sasa, kuwa na ndege ni Hatua ! sasa baada kuwa na ndege ambayo ni FAHARI YA NCHI, watu wenye MAWAZO mazuri tuisadie serikali ili ipate faida. kwa kweli kutoka moyoni mwangu naamini kuwa na ndege ni hatua.
KITU kinginen cha kuangalia ni mtu asipande BURE kwa sababu ama za wadhifa, ama ushawishi n.k HAPA KAZI,kila mtu aipie.