Mdhibiti mkuu wa mapato na matumizi wa serikali yetu ya Tanzania ameyataja mashirika yetu makubwa ya serikali jina yanavyojiendesha kwa harasa , kuanzia ATCL mpaka Tanesco. .
Kwa kufanya kwa biashara kwa hasara ina maana kipato kwa serikali kinapungua au kinakosekana kabisa hivyo kuathiri deni la Taifa. Hakuna hata mwana CCM mmoja atakae toka hadharani kuzunguzungumzia hasara hii, kwani kila mmoja anataka kusifia tu ili kulinda nafasi zao serikalini.
Serikali haitaweka hadharani mpango wa kuokoa haya mashirika mwaka ujao utasikia hasara tena
Kwa kufanya kwa biashara kwa hasara ina maana kipato kwa serikali kinapungua au kinakosekana kabisa hivyo kuathiri deni la Taifa. Hakuna hata mwana CCM mmoja atakae toka hadharani kuzunguzungumzia hasara hii, kwani kila mmoja anataka kusifia tu ili kulinda nafasi zao serikalini.
Serikali haitaweka hadharani mpango wa kuokoa haya mashirika mwaka ujao utasikia hasara tena