Yaani kuna haka kamtindo ka kwenye send of na wedding wenye sherehe kurefusha muda pasipo sababu..zamani muda wa zawadi ulikuwa ni mmoja wa kuwatunza maharusi tu...siku hizi hii stlye ya kila mtu atunzwe,mara,dada mkubwa,mara wa kati,mara shangazi,mara bibi inatoka wapi?si mkatunzane nyumbani?