Haruna Moshi 'Boban' akifanya remix

Aiseee babaangu nasikia man u ya rombo inataka kumsajili
 
kisoka kiroba kimoja kinakubalika kupunguza mafuta tumboni maana mpira uko tumboni, akizidisha ndio noma........
 
Jembe la ukweli hilo, mbona wachezaji wangine wapenda ngono kwa sana, Big o Boban.
 
alafu ndo wanajifananisha na wakina xavi! hahaha....! huu sio mpira hapa bongo, ila hatuna jinsi tuendelee tu na ushabiki, jaribu kuvuta picha mtu kama roony anafanya hayo mbele ya fegurson! what next?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…