Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,921
- 30,266
HARUNA MBEYU NDANI YA MAKTABA
Leo jioni nimetembelewa na rafiki yangu ndugu Haruna Mbeyu. Nimemjua Haruna bado mtoto mdogo wa shule
Miaka mingi hayupo lakini hapungui Tanzania. Haruna ana ila moja. Kila akipata mtu anakuja Dar es Salaam kutoka London atampa vitabu aniletee. Leo kaja nikaona ndiyo nafasi yangu.
Nikakumba baadhi ya vitabu alivyoniletea nikamuomba tupige picha nimevibeba.
Kanikubalia. Usishangae.
Haruna toka udogo wake ni Educationist. Akiwa kijana mdogo sana alifungua shule mtaani kwake. Shule hii ipo hadi hivi sasa watoto wanasoma.
Leo jioni nimetembelewa na rafiki yangu ndugu Haruna Mbeyu. Nimemjua Haruna bado mtoto mdogo wa shule
Miaka mingi hayupo lakini hapungui Tanzania. Haruna ana ila moja. Kila akipata mtu anakuja Dar es Salaam kutoka London atampa vitabu aniletee. Leo kaja nikaona ndiyo nafasi yangu.
Nikakumba baadhi ya vitabu alivyoniletea nikamuomba tupige picha nimevibeba.
Kanikubalia. Usishangae.
Haruna toka udogo wake ni Educationist. Akiwa kijana mdogo sana alifungua shule mtaani kwake. Shule hii ipo hadi hivi sasa watoto wanasoma.