oneman
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 355
- 188
Hahahaha wakina mkono mmoja weka juuuuuili awekwe gavana wa kama kipindi kile cha idi amin
Ahsante kwa kuongeza list..
sasa naona wanayo yaona kwa media yanawaacha mdomo wazi
Hahahaha wakina mkono mmoja weka juuuuuili awekwe gavana wa kama kipindi kile cha idi amin
Ahsante kwa kuongeza list..
sasa naona wanayo yaona kwa media yanawaacha mdomo wazi
Cku[/B] zote mkia huwez kuongoz kichwa. Ndo nyie mnaotuletea kiza cha maendeleo unakalia majungu tu na upuuzi. Cjui Wa wp ww au ndo zle dv5?
Cc mtemi Wa wandamba
Hivi mwanamke wakwanza mbona kasura kake kama kakulekule?yawezekana kwa mashemejiHili ni bomu tunalitengeneza, Wazalendo wenye mapenzi mema na nchi yetu hatuwezi kukaa kimya tutasema tu, ni afadhali uwakaribishe CIA kwenye mfumo wa nchi yako kuliko hawa Watusi wenye ajenda yao ya siri kuunda dola lao la kitusi ukanda huu.
Washauri wa Rais wasiogope kumwambia ukweli hawa watu hawaamini kabisa, tushirikiane nao kwenye mengine na siyo kuwaingiza jikoni.
Lowasaphobia, hata Juliana Shonza asingepewa ubunge wa vitu maalum.Huyu Masebo angekua Katibu mkuu wa Chadema, naamini Lowasa asingekubaliwa kuhamia chadema
Kutumbua 'wataalam' mwisho tutakwama
wakimtoa Benno Ndulu subiri uone inflation itakavyo panda
Napita tuKutumbua 'wataalam' mwisho tutakwama
wakimtoa Benno Ndulu subiri uone inflation itakavyo panda
Mkuu ni baba yako unampigia debe?Unamkumbuka Haruna Masebu?
Unakumbuka huyu jamaa wakati akiwa mkurugenzi wa Ewura aliambiwa na JK ashushe.
bei ya petroli....akamjibu live tena hadharani tu kuwa 'hakuna sheria inayompa mamlaka hayo' wakitaka wapitishe sheria kwanza.
Na baada ya sheria kupitishwa ndo Ewura ikawa na mamlaka ya kushusha bei na kupanga bei za mafuta...kushusha na kupandisha .'kwa mujibu wa sheria'...
Sasa watu wa aina siku hizi ni kama hakuna kabisa watu ambao sio waoga
wanaweza kuongea live sheria zinasemaje kwa swala husika bila woga
labda Benno Ndulu ingawa na yeye anasakamwa kwa kuongea tu ukweli sheria zinasemaje..
Leo nimemkumbuka sana Haruna Masebu.....mzalendo ,mchapakazi,asiye muoga kumwambia kiongozi wake ukweli.
Imagine kama IGP angekuwa anaweza kuwaambia wanasiasa tu ukweli kuwa katiba na sheria zinaruhusu shughuli za kisiasa na mikusanyiko ya kisiasa.....polisi haiwezi kufanya lolote wakitaka wabadili sheria.Na pengine kufuta kabisa vyama vya siasa.
Imagine Mkuu wa mkoa angekuwa na mtu anamwambia live 'agizo lako hili halipo kisheria' na kadhalika na kadhalika......labda matamko mengi ambayo hayana nguvu za kisheria yangekwisha.
Watu kama Haruna Masebu wanahitajika sana kipindi hiki.
So unamkubali! Basi hamia kwake.Muzee, kinachonivutia kwenye mabandiko yako ni kwamba unajua kila kitu na una ushauri wa kila jambo.
Hivi hadi sasa inflation ni ngapi?Kutumbua 'wataalam' mwisho tutakwama
wakimtoa Benno Ndulu subiri uone inflation itakavyo panda