Sparkle boy
Member
- Oct 19, 2012
- 75
- 8
- Thread starter
- #21
Jamani pafyumu ndo inanukia mavituz hapo mmeelewa!
Hapa ngeli haijapanda vizuri, hebu fafanua;
Soma post upya bila pupa utaelewa!
Waulize watu wa Katanga, Zambia huko, ndo watakwambia uzuri. Hata mwanamke awe mzuri vipi kama hatoi PAFYUMU husika ya kutosha huyo hana soko. Inatakiwa Akichojoa tuuu, chumba zima limesheheni Manukato Original, Hapo kwao BARIDAAAAAAA!!!!!!1
Tembea uone!
Hapa ngeli haijapanda vizuri, hebu fafanua;
1. Yaani hiyo perfume inapulizwa kwenye kiungo cha uzazi, au inapulizwa mwilini lakini harufu yake ni kama kiungo cha uzazi?
2. Hivi viungo vya uzazi vina harufu maalum/fixed/known au vinatofautiana !! :confused2: