Baba,Kaka,Dada,Mjomba,Shangazi,Bibi na Babu huu ni mshipa uliomshinda fisi.Binafsi mara kadhaa nimelipa faini bila risiti nikiuliza naambiwa kachukue ofiini ??????.
Ukisafiri njia ya Moshi to Arusha utasimamishwa zaidi ya mara tano maswali ni yale yale Road licence,lleseni,insurance.......Hadi unashangaa hivi hawa trafic polisi hawana kazi za kufanya.