Transparence
Member
- Sep 23, 2016
- 22
- 13
Mh. Rais alisisitiza ukifanya Malipo yeyote dai risiti ili serikali ipate mapato! Sasa ni kwanini askari wa barabarani wakitoza fine hawatoi risiti na wanaishia kukupa notification na hela mtu umelipa? tuna uhakika gani kwamba hizo hela zinafika serikalini?