Kibo255
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 4,408
- 3,938
Sasa lowasa anahusikaje hapa au mnalipwa kwa jina lake tu maana kila mada lazima umtajeWatu kama hawa ndio tatizo zaidi ya Lowassa Tanzania
Sasa lowasa anahusikaje hapa au mnalipwa kwa jina lake tu maana kila mada lazima umtajeWatu kama hawa ndio tatizo zaidi ya Lowassa Tanzania
hata harmonize alianza kuwa mstaarabuHuyo ni harmonize hapa tunamsema Raymond ni watu wawili tofauti , harmonis anapenda sifa ndo maana c unajua watu wa nanjilinji
Laana ya kuua ndiyo inakutesa.Mpigie cm
Yupo kuzimu arudi
daah hiyo IPP mm hoihiyo point yako watanzania tunaiita IPP(INTERNATIONAL PUMBA POINT) japokuwa tunaheshimu mawazo yako
Naogopa na ninaona kabisa tukichukua 3 latest release za diamond na harmonize, harmonize amemfunika diamond katika uandishi na mashairi.
Tukichukulia mfano wimbo wa diamond na papa wemba, na wimbo wa harmonize matatizo. Unaona kabisa dai kafunikwa.
namshauri harmonize atoke WCB akajitegemee mana ni mkali kuzidi diamond.
Ila ni kawaida mwanafunzi huwa anakuwa mzuri kuliko mwalimu
Huna Akili! Unaweza kulipa wewe pesa ya Harmonize kuvunja mkataba? Unadhani wanafanya kazi kishkaji?Naogopa na ninaona kabisa tukichukua 3 latest release za diamond na harmonize, harmonize amemfunika diamond katika uandishi na mashairi.
Tukichukulia mfano wimbo wa diamond na papa wemba, na wimbo wa harmonize matatizo. Unaona kabisa dai kafunikwa.
namshauri harmonize atoke WCB akajitegemee mana ni mkali kuzidi diamond.
Ila ni kawaida mwanafunzi huwa anakuwa mzuri kuliko mwalimu
He! Hayo yako ni maradhi tafuta dawa ndugu.Watu kama hawa ndio tatizo zaidi ya Lowassa Tanzania
😁Hivi nyie wenzangu mnawezaje kuwatifautisha hawa, Mimi nawaona wanafanana kila kitu.
Kipindi kile unaponda,Diamond ndio alikuwa anajitahidi kumpush harmo mpaka kafika level za juu,leo kapost album ya harmo unamwita mnafiki,wakati ww kuanzia 2016-19 unaponda leo 2020 unajifanya kumkubali.Hivi nyie wenzangu mnawezaje kuwatifautisha hawa, Mimi nawaona wanafanana kila kitu.