Harmonize Sasa anazingua

Harmonize Sasa anazingua

steve_shemej

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
1,182
Reaction score
1,596
Leo nimepata nimekuta nyimbo mpya ya Harmonize inaitwa CCM nimeisikiliza nimegundua amekuwa mpuuzi japokuwa anapata pesa Ila nimemtoa maana kwakuwa anatugawa Sasa mashabiki

AUDIO Harmonize CCM download

harmonize-ccm-768x432.jpeg
 
Ni muda sasa akina Sugu na Prof Jay watoe nao vibao vyao vya kuhamasisha sio kukalia mashindano ya mpira sijui ujinga gani. Wajiunge watoe ngoma moja hatari ya amsha amsha
 
Ni muda sasa akina Sugu na Prof Jay watoe nao vibao vyao vya kuhamasisha sio kukalia mashindano ya mpira sijui ujinga gani. Wajiunge watoe ngoma moja hatari ya amsha amsha
Inamaana Harmonize kalidhika?
 
Sa mchizi asipige hela?
Njaa aliokua nayo yupo tayari kufanya wimbo wowote nadhani
 
Mkuu mimi sion kama kazingua maana ni muda sahihi wa kufanya ivyo soon atazunguka TZ nzima na Mzee baba pia kumbuka aliambiwa kwamba atapewa jimbo so ni sahihi kwa upande wake
 
Sote tunajua nini kitamtokea asipo imba mapambio. Soon utaona Diamond na Ali Kiba nao wametoa nyimbo za CCM
 
Madaraja gani ya kusifiwa hapa TZ maana yote yamejaa kutu hata kabla hayajamalizika kujengwa
 
Jamaa anasoma anajua hiki ni kipindi cha uchaguzi
Ni mwendo wa kupiga hela tu
 
Hatujawa nchi ya demokrasia kwa ukubwa huo kiasi cha kupondea serikal hasa awamu hii na afrika ndio asili yake. Hatujafikia huko lazima asifie ili aendele kufanya muziki na kupata alicho ahidiwa na anacho/anvyolenga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom