Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,640
- 697,940
Hahahaa... utashangaa mtu anajifanya anamjua sana utadhani labda mkewe...
Hahahaa... utashangaa mtu anajifanya anamjua sana utadhani labda mkewe...
Halafu sasa waulize kwenye account zao zinazoma bei gani...Kweli kabisa Mkuu mshana jr wabongo wanapenda sana kukandia
labda anataka kuomba kazi huko kwan ujui kama akifungua hyo radio kutakuwa na fursa ya ajiraEbu fanya issue zako acha kufuatilia maisha ya watu, wewe huyo konde boi ata akifngua hyo radio station wewe itakusaidia nini kwa mfano????? Umbea waachie wanawake shekhe wangu
Ninachojua Konde Boy anapita njia za kaka yake kabla hajamwangusha si unajua upinzani siku zote unatoka ndani siku zoteHalafu sasa waulize kwenye account zao zinazoma bei gani...
Hawezi kuwa na njia mpya... Inahitajika akili ya ziada kuweza kubadili uelekeo kwa mfano awekeze kwenye kilimo ama techNinachojua Konde Boy anapita njia za kaka yake kabla hajamwangusha si unajua upinzani siku zote unatoka ndani siku zote
Konde Gang FM.Nasikia kwamba Harmonize ana mpango wa kuanzisha radio station yake ya kundi la Konde gang, je kuna ukweli wowote katika hilo?
Vanny boy kuanzisha radioHiyo Radio itakuwa n kwa ajili ya wamakonde tu? Je unazijua gharama za kuanzisha Radio?
.
Unafahamu hata Vanny boy alishazushiwa tetesi kama hii kuanzisha Radio yake Green city?
Hilo nalo, neno but jinsi alivyoandka uzi wake havihusian na maswala ya ajira kabisalabda anataka kuomba kazi huko kwan ujui kama akifungua hyo radio kutakuwa na fursa ya ajira
Ulivyododa wewe ndio unajiaminisha kua wote watadoda kama wewe?Itadoda
Mkuu, tuna ugomvi mimi na wewe?Ulivyododa wewe ndio unajiaminisha kua wote watadoda kama wewe?
Wasafi yenyewe inasikikia hapo mzizima itakua hiyo kunde efuemu
Sina ugomvi na wewe kama wewe mkuu ila napingana na comment yako inayomkatisha tamaa mwenzako anayepigana na maisha ili tu kutafuta riziki kwa njia iliyo ya halali.
Harmonize huyuhuyu ninayemjua ambaye hakukatishwa tamaa na crew ya BSS ndio aje akatishwe tamaa leo na comment ya mtu ambae hata hamjui tena baada ya kufika hapo alipo? Bas sawaSina ugomvi na wewe kama wewe mkuu ila napingana na comment yako inayomkatisha tamaa mwenzako anayepigana na maisha ili tu kutafuta riziki kwa njia iliyo ya halali.
Jf inasomwa na watu wa kila rika na watu wa aina mbalimbali,comment yako sio tu kua inaweza kumkatisha tamaa muhusika bali hizi mentality za kukatisha tamaa watu bila proper investigation au kuweka any details na upingaji wako zinaweza kumkatisha tamaa msomaji yeyote wa hiyo comment.Harmonize huyuhuyu ninayemjua ambaye hakukatishwa tamaa na crew ya BSS ndio aje akatishwe tamaa leo na comment ya mtu ambae hata hamjui tena baada ya kufika hapo alipo? Bas sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh kumbeJf inasomwa na watu wa kila rika na watu wa aina mbalimbali,comment yako sio tu kua inaweza kumkatisha tamaa muhusika bali hizi mentality za kukatisha tamaa watu bila proper investigation au kuweka any details na upingaji wako zinaweza kumkatisha tamaa msomaji yeyote wa hiyo comment.