music mimi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 441
- 758
Msanii aliyelelewa na kutengenezwa kwenye record label ya Wasafi, Harmonize aka Konde Boy sasa ametangaza vita na Wasafi.
Ametumia page yake ya Instagram kuishambulia show ya boss wake wa zamani aliyemtoa kimuziki Diamond Platnumz.
Harmonize ameiita show ya Diamond ni mkutano wa hadhara au mkesha wa maombi kwa sababu haukuwekwa kiingilio.
Wataalam wa mambo wanasema Harmonize amechokoza mzinga wa nyuki ajipange kupambana na mashabiki watiifu wa Wasafi ambao ni asilimia 86 ya washabiki wa bongo fleva.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ametumia page yake ya Instagram kuishambulia show ya boss wake wa zamani aliyemtoa kimuziki Diamond Platnumz.
Harmonize ameiita show ya Diamond ni mkutano wa hadhara au mkesha wa maombi kwa sababu haukuwekwa kiingilio.
Wataalam wa mambo wanasema Harmonize amechokoza mzinga wa nyuki ajipange kupambana na mashabiki watiifu wa Wasafi ambao ni asilimia 86 ya washabiki wa bongo fleva.
Sent using Jamii Forums mobile app