Hallelujah!! Hayawi Hayawi sasa yanekuaaa π Love is a beautiful thing hasa ukipata mtu umpendae na yeye akakupenda π leo hii jioni Harmonize amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi Kajala Masanja.
Inasemekana Pete hio imegharimu bilioni 10 za kitanzania. Pete hiyo imenunuliwa nchini uturuki kwa kina ertugru π
Wamependeza sana na wenye wivu wajinyonge π Kwa sasa hii ndo kapo namba moja inayokubalika na yenye ushawishi mkubwa Tanzania na East Africa. Tunawatakia maisha mema na ya furaha tele...βοΈ
Picha na video chini ni bwana Harmonize akiwa na mchumba wake Kajala wakati wa tukio zima la uvishwaji pete.
Kila mmoja, ana size yake. Inawezekana huyo Kajala ni mmojawapo wa wanawake wachache walioweza kulimudu hilo nanihii, yaani ana RAMBO, hivyo, HAWAPWELETETANI!
Sifuri nyingi sana zimeongezwa hapo,mzeebaba usidanganyike kiurahisi hvyo,hana hiyo hela huyo dogo,huyo boya anatudhalilisha sana watu wa kusini,mshamba sana