Harmonize amvisha Pete ya uchumba Kajala

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,402
Hallelujah!! Hayawi Hayawi sasa yanekuaaa πŸ˜‰ Love is a beautiful thing hasa ukipata mtu umpendae na yeye akakupenda 😍 leo hii jioni Harmonize amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi Kajala Masanja.

Inasemekana Pete hio imegharimu bilioni 10 za kitanzania. Pete hiyo imenunuliwa nchini uturuki kwa kina ertugru 😁

Wamependeza sana na wenye wivu wajinyonge 😜 Kwa sasa hii ndo kapo namba moja inayokubalika na yenye ushawishi mkubwa Tanzania na East Africa. Tunawatakia maisha mema na ya furaha tele...✍️

Picha na video chini ni bwana Harmonize akiwa na mchumba wake Kajala wakati wa tukio zima la uvishwaji pete.


Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Acha ujinga! Bilioni 10 unaijua wewe? Utajiri wake wenyewe haufikii bilioni10, ndio ije iwe pete ya uchumba tu??!!
 
Huku hamo kule bill, kwanini wasiungane wakafanya pale uwanja wa taifa
 
Lishangazi Limempata kijana wa kimakonde.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…