MimiNiMakini
Member
- Jun 19, 2022
- 7
- 20
Tukio la Harmonize kumvisha Pete ya Uchumba Kajala na Tukio la Yanga kusherekea Ubingwa wa Ligi kuu yameenda sambamba sana.
Inadaiwa kwamba Tukio la Harmonize kumvisha pete Kajala limefunika Tukio la Yanga, maana yake ni kwamba Mtaani watu wanamjadili Harmonize na Kajala kuliko Ubingwa na Sherehe za Yanga.
Je, Unakubaliana kwanza na hilo kwamba Tukio la Harmo na Kajala limefunika Tukio la Yanga? Je, kati ya Bongo Fleva na Mpira wa Kitanzania kipi KINAFUATILIWA sana hapa Nchini?
Binafsi naona kila kitu kina watu wake maana ukianza na Muziki, Wasanii wengi wanafollowers wa kutosha katika mitandao ya kijamii kuliko Wachezaji wa Mpira.
Pia tunaona Wasanii wanapata madeal mengi ya Ubalozi kuliko Wanachezaji hii inaonesha Muziki unafatiliwa sana. Lakini pia tukumbuke kwamba Watangazaji na Wachambuzi wa michezo wanawafuasi wengi sana kuliko Watangazaji wa Burudani (Muziki)
Hii inaumiza kichwa sana, Dondosha Comment yako, Unahisi kati ya muziki na Mpira wa Miguu hapa Tanzania Kipi kinafuatiliwa sana.
Inadaiwa kwamba Tukio la Harmonize kumvisha pete Kajala limefunika Tukio la Yanga, maana yake ni kwamba Mtaani watu wanamjadili Harmonize na Kajala kuliko Ubingwa na Sherehe za Yanga.
Je, Unakubaliana kwanza na hilo kwamba Tukio la Harmo na Kajala limefunika Tukio la Yanga? Je, kati ya Bongo Fleva na Mpira wa Kitanzania kipi KINAFUATILIWA sana hapa Nchini?
Binafsi naona kila kitu kina watu wake maana ukianza na Muziki, Wasanii wengi wanafollowers wa kutosha katika mitandao ya kijamii kuliko Wachezaji wa Mpira.
Pia tunaona Wasanii wanapata madeal mengi ya Ubalozi kuliko Wanachezaji hii inaonesha Muziki unafatiliwa sana. Lakini pia tukumbuke kwamba Watangazaji na Wachambuzi wa michezo wanawafuasi wengi sana kuliko Watangazaji wa Burudani (Muziki)
Hii inaumiza kichwa sana, Dondosha Comment yako, Unahisi kati ya muziki na Mpira wa Miguu hapa Tanzania Kipi kinafuatiliwa sana.