Harmonize aja na wimbo mpya, atangaza yeye ndio Mwalimu wa Amapiano

Cannabis

JF-Expert Member
Jan 20, 2014
8,943
25,284
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya maarufu kama Bongo Flava Harmonize ametoa wimbo unaoitwa Mang'dakiwe Remix ambao amesema ni Darasa la Amapiano kwa wasanii wengine. Darasa hili la amapiano linakuja wakati Diamond Platnumz amekuwa akitamba na Wimbo wa Amapiano unaoitwa "IYO".

 
Back
Top Bottom