Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,238
- 31,148
Unapoteza muda wako, huyo unayejaribu kumfafanulia ni either hajui mziki kabisa au ni hater. Haiwezekani eti mtu ni maarufu kwa sababu ya jina na beat, jina alilitengeneza vipi kama si kwa kutoa hits kali and for that matter kwa span ya miaka karibu kumi na kama ni beats kwani hao wengine wanashindwa kuwatafuta producers wa kuwatengenezea beats kali au wanashindwa kugundua ni beats zipi zinawafaa.Kwenye mashairi ww unaangalia nini,vina au mizani?Kama unaangalia hivyo,Diamond kwenye nyimbo zake zote zina vina na mizani,ila yy kaamua kujikita katika BURUDANI kama content yake kibiashara (kwani Mziki kazi yake ni KUBURIDISHA na KUELIMISHA)
Diamond ni mwimbaji ila ana gene za Hip hop ndio maana Diamond ana Flow nzuri upande wa Hip Hop kuliko baadhi ya wasanii wa Hip Hop,sema tu ameamua kuimba sababu anaamini ndipo anajua zaidi.
Kama hujui hamna waandishi wazuri wa mashairi kama wana hip hop na ogopa msanii ambaye zamani alikuwa mchanaji baadae akaamua kuimba,huwaga anakuwaga mzuri sana upande wa uandishi,sababu bado ana zile gene za hip hop.
Mwisho ukipata muda kasikilize Jisachi-Diamond Ft Mabovu,ngweair,Sikiliza Fesh rmx Fid ft Diamond,sikiliza Zigo rmx Ay ft Diamond,sikiliza Godzilla ft Diamond,Mako chali-Mtoto wa Mama.
Diamond amefikia level ambayo anaangalia zaidi international market ndiyo maana ameacha ule uimbaji wa mashairi mengi na analenga nyimbo za ku'dance zaidi ili hata ambao hawataelewa lakini wata'enjoy na kucheza. No wonder utazisikia kwenye clubs hata kwa wasiojua Kiswahili.