Harmonize acha kutafuta public sympathy.Hii itakugharimu in long run

Kwenye mashairi ww unaangalia nini,vina au mizani?Kama unaangalia hivyo,Diamond kwenye nyimbo zake zote zina vina na mizani,ila yy kaamua kujikita katika BURUDANI kama content yake kibiashara (kwani Mziki kazi yake ni KUBURIDISHA na KUELIMISHA)

Diamond ni mwimbaji ila ana gene za Hip hop ndio maana Diamond ana Flow nzuri upande wa Hip Hop kuliko baadhi ya wasanii wa Hip Hop,sema tu ameamua kuimba sababu anaamini ndipo anajua zaidi.

Kama hujui hamna waandishi wazuri wa mashairi kama wana hip hop na ogopa msanii ambaye zamani alikuwa mchanaji baadae akaamua kuimba,huwaga anakuwaga mzuri sana upande wa uandishi,sababu bado ana zile gene za hip hop.

Mwisho ukipata muda kasikilize Jisachi-Diamond Ft Mabovu,ngweair,Sikiliza Fesh rmx Fid ft Diamond,sikiliza Zigo rmx Ay ft Diamond,sikiliza Godzilla ft Diamond,Mako chali-Mtoto wa Mama.
Unapoteza muda wako, huyo unayejaribu kumfafanulia ni either hajui mziki kabisa au ni hater. Haiwezekani eti mtu ni maarufu kwa sababu ya jina na beat, jina alilitengeneza vipi kama si kwa kutoa hits kali and for that matter kwa span ya miaka karibu kumi na kama ni beats kwani hao wengine wanashindwa kuwatafuta producers wa kuwatengenezea beats kali au wanashindwa kugundua ni beats zipi zinawafaa.
Diamond amefikia level ambayo anaangalia zaidi international market ndiyo maana ameacha ule uimbaji wa mashairi mengi na analenga nyimbo za ku'dance zaidi ili hata ambao hawataelewa lakini wata'enjoy na kucheza. No wonder utazisikia kwenye clubs hata kwa wasiojua Kiswahili.
 
Hicho kitabu hata akikitafuta akisome mara 100 hakitamsaidia bongo flava na Tanzania na watanzania sio watu wanaotabilika mfalme aleishinda vita ni Diamond peke yake!! Yeye ategemee kurudi chitoholi!!
 
Kwenye mashairi ww unaangalia nini,vina au mizani?Kama unaangalia hivyo,Diamond kwenye nyimbo zake zote zina vina na mizani,ila yy kaamua kujikita katika BURUDANI kama content yake kibiashara (kwani Mziki kazi yake ni KUBURIDISHA na KUELIMISHA)

Diamond ni mwimbaji ila ana gene za Hip hop ndio maana Diamond ana Flow nzuri upande wa Hip Hop kuliko baadhi ya wasanii wa Hip Hop,sema tu ameamua kuimba sababu anaamini ndipo anajua zaidi.

Kama hujui hamna waandishi wazuri wa mashairi kama wana hip hop na ogopa msanii ambaye zamani alikuwa mchanaji baadae akaamua kuimba,huwaga anakuwaga mzuri sana upande wa uandishi,sababu bado ana zile gene za hip hop.

Mwisho ukipata muda kasikilize Jisachi-Diamond Ft Mabovu,ngweair,Sikiliza Fesh rmx Fid ft Diamond,sikiliza Zigo rmx Ay ft Diamond,sikiliza Godzilla ft Diamond,Mako chali-Mtoto wa Mama.
Ana vina na mizani ndio, ila matusi nayo anayo. Na Hamonize hajaingia kwenye game ili kumshinda Diamond aliingia kwa sababu ni fani yake na anaimudu.
 
Ana vina na mizani ndio, ila matusi nayo anayo. Na Hamonize hajaingia kwenye game ili kumshinda Diamond aliingia kwa sababu ni fani yake na anaimudu.
Nitajie nyimbo ya Diamond yenye matusi?

Sasa Harmonize kafata nini?

Sehemu gani nimeandika Harmonize anataka kumshinda Diamond?
 
Atoke WCB abaki ni juu yake cha msingi atoe ngoma kali Mimi nitasikiliza tu
 
Write your reply...ebu wakat mwingne soma Alicho kiandika mtu na uelew kwanza... Jamaa amejarbu kuelezea tu hali ilivyo na ni kwel...
Ila hakuna sehem amesema harmonize hakusitahil kutoka no

Lkn wabongo sas mnachosoma na mnacho jibu tofaut kbs kwan mna shida gan aseeeeee
 
Mbona nyimbo zake zinagongwa tu wasafi fm tena izo izo mpya
Habari wale wapenda buradani.Hope ni wazima...

Kwanza nampongeza kijana mwenzangu hormonize kwa kuanzisha familia yake mpya(konde gang).Hii ni hatua nzuri ya kukua na kuelekea kwenye kutengeneza himaya yako siku za usoni.

Mara nyingi sana nimekuwa nikitofautiana na baadhi ya watu wanaobeza hatua ya harmonize kujitoa wasafi na kuanzisha familia yake.Lazima tumpongeze kwani inapelekea kukua kwa tasnia ya muziki kwa hapa Tanzania.

Nadhani Harmonize alijuwa ule msemo usemao"You will never be a rich by working in someone else"
Watu wote waliofanikiwa hawafanyi kazi chini ya mtu,kwani kitendo cha kuwa chini yake kinakufanya uwe na mipaka ya kiutendaji hivyo hauwezi kuwa juu ya boss wako.



Ngoja niingie kwenye mada.Harmonize acha kutafuta public sympathy.

Baada ya Harmonize kuanza kuonyesha dalili mbalimbali za kutaka kujitoa wasafi,Kuna mengi sana ambayo wapenzi na mashabiki wa wasafi waliyasema hasa zaidi ni lengo la Kuacha kum support Katika kazi zake za muziki.

Nadhani hili Harmonize alilijuwa mapema hivyo alijiandaa namna ya kulikabili.
Mara baada ya kutangazwa rasmi kuwa Harmonize amejitoa kwa diamond na wasafi chuki ilizidi kuongezeka kwa mashabiki wa wasafi,na kweli walianza kususia kazi zake ushahidi ni huu wimbo alioutoa wiki hii (Eddy kenzo x Harmonize).

Harmonize lazima ajuwe kitendo Cha yeye kujitoa Katika familia yake iliyomlea kwa muda mrefu ametanga vita na wanafamilia yake hiyo (wasanii+blood fans).Hivyo aache kujipendekeza na kutafuta huruma ya watu.

Kitendo Cha ku-support na kutangaza kazi za wasafi so vibaya lakini lazima atambue kuwa wale ni maadui zake Sasa..

Si kitendo kibaya kibinadamu hasa kwa watu ambao wameshirikiana Mambo mengi lakini ki strategy ni kosa kubwa Sana na litamgharimu pakubwa.Hakuna asiyejuwa kuwa~
Harmonize ni mtunzi mzuri wa mashairi hivyo naamini ni msomaji mzuri wa vitabu.
Kama hajasoma kitabu # The art of war cha Sun Tzu.
Namuomba akitafute na akisome kitamsaidia sana Katika safari yake hii mpya aliyoainza.Namhakikishia hii ni safari yake ngumu na nzito kuwahi kusafiri.

Haya ni masomo matatu(3) ambayo Harmonize anaweza kuyapata Katika kitabu cha The art of war

#Lesson 01. Every battle is won before it is Fought.
(Know your strength and your enemies weakness and start preparing)

Vita yoyote ile inaanza kupiganwa kimkakati kwanza kabla ya kuenda kwenye open ground (war field).Hapa kila upande unaanza kwa kujiandaa na kukagua silaha zako vizuri kabla ya kuanza kushambulia.
Hapa lazima ujue nguvu zako na mapungufu ya adui yako ili upige sehemu sahihi.

Licha ya Harmonize kuishi Katika familia ya wasafi kwa muda mrefu lakini ameshindwa kutambua madhaifu na nguvu ya wapinzani wake(wasafi-daimond).Kitendo cha kuonyesha bado anajali alipotoka anakiuka somo namba moja Katika kitabu cha The art of war.
Hii itamgharimu sana kwani wenzake hawana huruma naye hata kidogo.



#Lesson 02.Before engaging, prepare to pay the price
(The only way to achieve Greatness is willingness to put it all in the line)
Kabla kuanzisha vita/mabishano lazima ujiandae kulipa gharama.
Mwanzo kabisa wakati nasikia habari za Harmonize kujitoa wasafi nilijuwa kuwa lazima atakuwa amejipanga na kujiandaa kwa figisu figisu kutoka Katika familia yake hiyo.
Ameishi na Sallam,mkubwa fella,Babu Tale pamoja na Diamond kwa muda mrefu hivyo anajuwa mbivu na mbichi zao.
Hivyo kitendo cha kujitoa alipaswa ajuwe kuwa litamgharimu sana lakini hakujiandaa kwa hili.
Hapa naweza kusema kuwa harmonize hakujiandaa ila alikurupuka.


#Lesson 03.Remain flexible in your Approach but not your results.
(Situation will change, you must adapt and keep pushing forward)
Hili ni funzo muhimu sana kwa Harmonize ili kuendelea vizuri na keria yake ya muziki.
Hii mbinu yake ya kujipendekeza kwa wasafi-daimond na kutafuta huruma kwa jamii haitamsaidia bali itaangukia pua.
Wapinzani wake washajuwa tayari kuwa Harmonize anatapa tapa na kuomba msaada wa ku push kazi zake indirectly hivyo watajiandaa kumkabili kirahisi sana.
Mbinu ya kujipendekeza haifai kwa sasa kwani wenzake hawata fanya hivyo,hawata muonea huruma bali watamkabili vilivyo.
Hapa ngoja niseme ukweli diamond atatumia kila mbinu ili kumuangusha Harmonize ili liwe funzo kwa wale waliobaki.

Naomba Harmonize atafute hiki kitabu naamini kitamsaidia Katika safari yake hii ngumu ya kimziki.

NOTE: Mashabiki kindaki ndaki wa Diamond na wasafi najuwa hawatapenda nilichokifanya hapa kwa kumkumbusha Harmonize.Naomba tuvumiliane.
 
Watu mmekalilishwa tu harmonize ametoka pale kwa amani wasafi wenyewe wamesha sema watampa sapoti yoyote atakayotaka hata kufanya kazi nao wakaenda mbali na kusema hata uko yakimshinda anaruhusiwa kurudi nyumbani team zinawafanya watu muwe wajinga
Trust me,hiyo kusema wako tayari kufanya nae kazi tena ni management ya Chibu but not Chibu himself. Akina salam ni wafanyabiashara,hawawezi kujifunga kwa Chibu tu. Ila Chibu mwenyewe anamchukulia Kondeboy kama adui sasa hivi kitu ambacho siyo vizuri. Niliona video flani Chibu anammaind harmonize eti kavaa nguo yake. Kwa kifupi huwezi kupanuka kimziki ndani ya wasafi kwa sababu Chibu hataki,anajiona mfalme pale. Ndio maana harmonize kasanuka,very smart move. Swala la kusema atafanya vizuri au vibaya hayo ni mengineyo.
 
Siku Hizi Ni Rahisi Sana Kujitengezea Kundi La Misukule, Hata Ukijamba Wanasema Yes Boss!

Ukikosewa Wanasema Bbudiwe Boss. Na Domo Kafanikiwa Haswaaaa
 
Siku Hizi Ni Rahisi Sana Kujitengezea Kundi La Misukule, Hata Ukijamba Wanasema Yes Boss!

Ukikosewa Wanasema Bbudiwe Boss. Na Domo Kafanikiwa Haswaaaa
Bila ya kukuvunjia heshima kwanini unawaita wenzako misukule? Kisa wanatofautiana na wewe mtazamo? Kisa wanapenda usichopenda? Kwanini unamwita mwenzako jina baya Domo? Kwakuwa wewe umejiumba mkamilifu?

Hizi ndio chuki ambazo Tanzania zinatusumbua. Kila mtu afanye anachopenda na kinachomuingizia rizki. International Music haihitaji mawaidha inahitaji maneno rahisi ambayo hata wasio wa lugha yako wataimba na kucheza na wewe.
Madjozi katuimbia John Cena huyoooo katoboa sasa wewe imba mawaidha ya Mpoto kama utakatoboa duniani huko.
 
Naona kijana taratibu anateka soko la Bongo ila tu asikubali kuingia kwenye siasa za mziki maana ameshaanza kurusha vijembe na yeye
Trust me,hiyo kusema wako tayari kufanya nae kazi tena ni management ya Chibu but not Chibu himself. Akina salam ni wafanyabiashara,hawawezi kujifunga kwa Chibu tu. Ila Chibu mwenyewe anamchukulia Kondeboy kama adui sasa hivi kitu ambacho siyo vizuri. Niliona video flani Chibu anammaind harmonize eti kavaa nguo yake. Kwa kifupi huwezi kupanuka kimziki ndani ya wasafi kwa sababu Chibu hataki,anajiona mfalme pale. Ndio maana harmonize kasanuka,very smart move. Swala la kusema atafanya vizuri au vibaya hayo ni mengineyo.
 
Kwaio unataka apachukie alipotokea?

Bila wasafi ungekua unalitaja ata hilo jina la wasafi?

Mbona wewe umekua ukatoka kwenu kwenda kujitegemea kwaio unataka kutwambia unamchukia Baba yako na Mama yako!!!

Acha mawazo ya hivyo mkuu tuwasapoti hawa vijana mimi pia napenda mziki wa hawa wote mawazo kama haya yanasababisha bifu ambazo hazina tija

Tunasubiri collabo nyingine harmonize ft diamond au lavalava ft harmonize hivyo basi Kondegang na w<B hizi ni zetu zote
 
Trust me,hiyo kusema wako tayari kufanya nae kazi tena ni management ya Chibu but not Chibu himself. Akina salam ni wafanyabiashara,hawawezi kujifunga kwa Chibu tu. Ila Chibu mwenyewe anamchukulia Kondeboy kama adui sasa hivi kitu ambacho siyo vizuri. Niliona video flani Chibu anammaind harmonize eti kavaa nguo yake. Kwa kifupi huwezi kupanuka kimziki ndani ya wasafi kwa sababu Chibu hataki,anajiona mfalme pale. Ndio maana harmonize kasanuka,very smart move. Swala la kusema atafanya vizuri au vibaya hayo ni mengineyo.
Naona kila mtu ni mjuaji, kazi ipo
 
mkuu tyga alivyojitoa YMCMB bado aliendelea kuwa na kina wayne, na bado anafanya vizuri kwenye mziki aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom