Kinyungu Platinum Member Joined Apr 6, 2008 Posts 21,629 Reaction score 43,012 Dec 7, 2022 Thread starter #2 Tuwe wema jamani...ulimwenguni tunapita tu.
kizaizai JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 6,056 Reaction score 7,519 Dec 8, 2022 #3 Ndio ukweli.. Lakini Mabehewa buyers haiwahusu.
Raymanu KE JF-Expert Member Joined Jan 20, 2022 Posts 10,209 Reaction score 18,942 Feb 3, 2023 #4 Huo Ni ukweli mchungu Sana jamani 🤔
Binadamu Mtakatifu JF-Expert Member Joined Jan 6, 2021 Posts 4,340 Reaction score 9,081 Feb 3, 2023 #5 Duuh! Basi tufurahi kwa kila goodmoments kadrii tuwezavyo
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 59,205 Reaction score 69,745 Feb 3, 2023 #6 Sorrowful 😔
Fall Army Worm JF-Expert Member Joined Jan 8, 2015 Posts 19,371 Reaction score 14,481 Feb 4, 2023 #7 Ni Kweli,lkn hbr Njema ni Kwamba Nitakuwa sijitambui,nitakuwa nipo somewhere nikila upepo mzuriiiii,Limwili langu tu ndio litakalokuwa linaharibika.Hivyo tufurahie Maisha tuliyopewa na Mungu huku tukiishi Maisha mema.Fullstop.
Ni Kweli,lkn hbr Njema ni Kwamba Nitakuwa sijitambui,nitakuwa nipo somewhere nikila upepo mzuriiiii,Limwili langu tu ndio litakalokuwa linaharibika.Hivyo tufurahie Maisha tuliyopewa na Mungu huku tukiishi Maisha mema.Fullstop.
NAGAMAHONGA JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 12,322 Reaction score 10,898 Feb 4, 2023 #8 Ishini mkiwa wema ili kama kuna cha kupata baada ya kifo mpate yaliyo mema.