gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
Happy Valentines Day kwenu nyote.
Katika kusherehekea siku hii napenda kuwa na ninyi nyote na kwakua ni ngumu sana kuwa na kila mmoja physically basi naomba hapa ndani ya key board tuwe pamoja tukijadili hili.
Sitaki sana kuinglia fani ya Mtambuzi ila kwa siku ya leo ningependa kuongelea maisha ya ndani ya ndoa yale ya ukweli kabisaaa jinsi ambavyo watu wengi wanaishi ndoani na ii ni ili kuwasaidia wale ambao ni juniors kwenye hii fani ambao hawaishi kutuma Pm za kuomba ushauri.
ukweli halisi wa maisha ya ndoa umegawanyika katika mafungu tofauti tofauti kutokana na jinsi nilivyoona (from anecdote) ila naomba niongelee kundi moja tu lakini ndilo kundi kubwa kati ya makundi mengi nalo ni hili ambalo mama ndiye mwajibkaji zaidi.
kwenye maisha tunategemea baba na mama wawajibike kila mtu kwa nafasi yake ili maisha ya ndani yaendelee. lakini hali halisi haiko hivyo kabisaa...............kwani kwenye familia nyingi utakuta mama ndiye mwajibikaji na mfanyaji wa vitu nyumban hasa vinavyohusu hela.
akina mama walioangukia katika kundi hili hujikuta wakilazimika kutafuta hela zaid ili maisha ya nyumban yaende kama vile watoo kusoma, ujenzi wa nyumba na ufanyaji wa kazi za maendeleo. ilihali waume zao wao hujua kupenda tu na kucare basi.
kibaya zaid waume wanaoangukia kwenye aina hii ya ndoa kwa matendo yao mazuri hujikuta wanawaziba mdomo wake zao kwenye maswala ya fedha kiasi kwamba mama huwa anasahahu ama anashindwa kuulizia pesa ya kufanyia jambo fulan kisa tu ma love na ma care anayopewa.
sasa mama inabidi akili imkae sawa kwenye kumake things happen na asipojitahidi huyu mama mwisho wa siku huumbuka yeye.
wanaume ambao wakao kwenye aina hii ya maisha wao hujua kupenda tu, yaaani ikiwa umeangukia kwenye kundi hili la ndoa ni ngumu sana kumkuta mumeo na maswala ya kucheat na tena atakujali sana wewe, na atakusaidia kazi za ndani ikiwa inabidi na tena ni watu ambao hawaoni aibu kujipa raha na wake zao popote pale. Lakini yote hii hutumika kama njia ya kumfunga mwanamke mdomo, hivyo mama akajikuta hawazii mapungufu mengine kwa mapenzi anayopata yanamtosha kabisa.
mama hujikuta akifikiria na kubuni njia mbadala za kipato iwe kwa biashara ma kwa upatu na vikundi ili kufidia gap ambalo baba hajalijaza. na mama huyu huakikisha hashindwi kabisa kwenye anachotaka kukifanya. mathalan kama mama atataka nyumba ipakwe rangi basi utakuta hata kama kamwambia baba, baba huishia kusema lakini ni kweli mke wangu ukuta umechafuka sana ila humkuti akiingia mfukoni kutoa pesa ukuta upakwe rangi. na mama kwa kuona hapa sina haja ya kumuuliza basi hulazimika kutafuta pesa na kupaka rangi.................baba yeye huishia kusema mke wangu hongera sana ukuta umependeza.......
tena wanaume wanaoangukia kundi hili wengi hata kama ni kazi za ukweni kwa mume basi mke ndiye mtendaji iwe ni za sherehe ama misiba ama ugonjwa na baba hubaki kupokea sifa tu kwamba amefanya mambo yamekuwa.
CC snowhite, cacico mwaJ
Katika kusherehekea siku hii napenda kuwa na ninyi nyote na kwakua ni ngumu sana kuwa na kila mmoja physically basi naomba hapa ndani ya key board tuwe pamoja tukijadili hili.
Sitaki sana kuinglia fani ya Mtambuzi ila kwa siku ya leo ningependa kuongelea maisha ya ndani ya ndoa yale ya ukweli kabisaaa jinsi ambavyo watu wengi wanaishi ndoani na ii ni ili kuwasaidia wale ambao ni juniors kwenye hii fani ambao hawaishi kutuma Pm za kuomba ushauri.
ukweli halisi wa maisha ya ndoa umegawanyika katika mafungu tofauti tofauti kutokana na jinsi nilivyoona (from anecdote) ila naomba niongelee kundi moja tu lakini ndilo kundi kubwa kati ya makundi mengi nalo ni hili ambalo mama ndiye mwajibkaji zaidi.
kwenye maisha tunategemea baba na mama wawajibike kila mtu kwa nafasi yake ili maisha ya ndani yaendelee. lakini hali halisi haiko hivyo kabisaa...............kwani kwenye familia nyingi utakuta mama ndiye mwajibikaji na mfanyaji wa vitu nyumban hasa vinavyohusu hela.
akina mama walioangukia katika kundi hili hujikuta wakilazimika kutafuta hela zaid ili maisha ya nyumban yaende kama vile watoo kusoma, ujenzi wa nyumba na ufanyaji wa kazi za maendeleo. ilihali waume zao wao hujua kupenda tu na kucare basi.
kibaya zaid waume wanaoangukia kwenye aina hii ya ndoa kwa matendo yao mazuri hujikuta wanawaziba mdomo wake zao kwenye maswala ya fedha kiasi kwamba mama huwa anasahahu ama anashindwa kuulizia pesa ya kufanyia jambo fulan kisa tu ma love na ma care anayopewa.
sasa mama inabidi akili imkae sawa kwenye kumake things happen na asipojitahidi huyu mama mwisho wa siku huumbuka yeye.
wanaume ambao wakao kwenye aina hii ya maisha wao hujua kupenda tu, yaaani ikiwa umeangukia kwenye kundi hili la ndoa ni ngumu sana kumkuta mumeo na maswala ya kucheat na tena atakujali sana wewe, na atakusaidia kazi za ndani ikiwa inabidi na tena ni watu ambao hawaoni aibu kujipa raha na wake zao popote pale. Lakini yote hii hutumika kama njia ya kumfunga mwanamke mdomo, hivyo mama akajikuta hawazii mapungufu mengine kwa mapenzi anayopata yanamtosha kabisa.
mama hujikuta akifikiria na kubuni njia mbadala za kipato iwe kwa biashara ma kwa upatu na vikundi ili kufidia gap ambalo baba hajalijaza. na mama huyu huakikisha hashindwi kabisa kwenye anachotaka kukifanya. mathalan kama mama atataka nyumba ipakwe rangi basi utakuta hata kama kamwambia baba, baba huishia kusema lakini ni kweli mke wangu ukuta umechafuka sana ila humkuti akiingia mfukoni kutoa pesa ukuta upakwe rangi. na mama kwa kuona hapa sina haja ya kumuuliza basi hulazimika kutafuta pesa na kupaka rangi.................baba yeye huishia kusema mke wangu hongera sana ukuta umependeza.......
tena wanaume wanaoangukia kundi hili wengi hata kama ni kazi za ukweni kwa mume basi mke ndiye mtendaji iwe ni za sherehe ama misiba ama ugonjwa na baba hubaki kupokea sifa tu kwamba amefanya mambo yamekuwa.
CC snowhite, cacico mwaJ
Last edited by a moderator: