Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 38,571
- 48,922
Sio kwamba namtetea huyo babu ila naona hiyo ripoti memba wengi hawajaelewa msingi wake.Mtambo wa finger prints wa jeshi letu la polisi ni defective, hauna uwezo wa kubaini watu wenye criminal records, hata akitokea serial killer akakutwa na hatia, akipimwa finger prints, anajipatia police clearance report kuwa is clean!.
P