Watanzania tunaoishi nje tuikopeshe nchi yetu USD 1 000 000 000.00 ili Tanzania iachane na kuomba omba pesa kutoka WB.
Mimi nipo tayari nitawakopesha USD 5000.00 (Tunahitaji Watanzania laki moja tu)
tatizo hamfiki hata 10 wa aina yenu 'cause majority ya diaspora wanajitambua!Watanzania tunaoishi nje tuikopeshe nchi yetu USD 1 000 000 000.00 ili Tanzania iachane na kuomba omba pesa kutoka WB.
Mimi nipo tayari nitawakopesha USD 5000.00 (Tunahitaji Watanzania laki moja tu)
Mkiwapa mkopo nashauri waambieni waweke uwanja wa chato au pangaboi kadhaa rehani, ili wakishindwa kulipa mkamate.Watanzania tunaoishi nje tuikopeshe nchi yetu USD 1 000 000 000.00 ili Tanzania iachane na kuomba omba pesa kutoka WB.
Mimi nipo tayari nitawakopesha USD 5000.00 (Tunahitaji Watanzania laki moja tu)
Haya sasa matusi ya waziwazi.tatizo hamfiki hata 10 wa aina yenu 'cause majority ya diaspora wanajitambua!
Sisi ni nchi tajiri sana,lakini pia rais anatuambia makusanyo ya kodi yanaongezeka kila mwezi pamoja na biashara nyingi kufa na zilizopo kuperform kwa kiwango duni sana and the other side watu wengi wakiendelea kupoteza ajira zao kwa kasi ya mwanga,lakini still makusanyo yanapaa every day.siamini kama nchi yangu inashindwa kupata usd.1,000,000,000.00 hata hivyo nitachangia dollar 3000.00 ili kuwasaidia ccm wawadanganye zaidi wadanganyika come October 2020Watanzania tunaoishi nje tuikopeshe nchi yetu USD 1,000,000,000.00 ili Tanzania iachane na kuomba omba pesa kutoka WB.
Mimi nipo tayari nitawakopesha USD 5000.00 (Tunahitaji Watanzania laki moja tu).
Kwa uwezo wangu wa kubeba mbox huku antactica nitatoa Usd1. Haba ba haba hujaza kibaba.Watanzania tunaoishi nje tuikopeshe nchi yetu USD 1,000,000,000.00 ili Tanzania iachane na kuomba omba pesa kutoka WB.
Mimi nipo tayari nitawakopesha USD 5000.00 (Tunahitaji Watanzania laki moja tu).
Mchango ni mchango, hasa katika kuisaidia serikali yetu inayotamba ni tajiri kumbe apeche alolo.Hahahaa waziingize kwenye kampeni? Labda AG awe independent person/Institute na kuwe na Transparency na kuwe na priorities sio ukilala ukiota treni za umeme, ukiamka unaenda kununua!
Suala si kukopa wala kukopeshwa, suala tunakopa kwa ajili ya nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko Tanzania lakini ready to spare 10million. Ila wawape ndugu zetu wabeba boxi uraia pacha
ningetoa msaada kwa nchi yangu kama viongozi wa nchi yangu wasingekuwa mumiani!Haya sasa matusi ya waziwazi.
Kutoa msaada kwa nchi yako ni kutojitambua? Anyway JF mamluki wako kibao ngoja nikupotezee tu.
Hahahah eti apeche aloloMchango ni mchango, hasa katika kuisaidia serikali yetu inayotamba ni tajiri kumbe apeche alolo.
Mie kwa January hii kweli hela ni shida kidogo, lakini kwenye kishamba changu mavuno ya matunda aina ya mapera nimejaliwa. Ntatoa debe mbili wakauze wenyewe kama mchango wangu.
Kutoa ni moyo na uzaREndo kwa nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania tunaoishi nje tuikopeshe nchi yetu USD 1,000,000,000.00 ili Tanzania iachane na kuomba omba pesa kutoka WB.
Mimi nipo tayari nitawakopesha USD 5000.00 (Tunahitaji Watanzania laki moja tu).