Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

kwa hiyo hapa mimi mwenyewe ndiyo siyo mzalendo.
Bora hata ulikosa nafasi ya kwenda AFCON
😭😭😭😭😭😭😭😭😭

Na nakuhakikishia ungeniona Leo pale maana ningekimbia kwenda kumkumbatia samatta.
 
nimechoka kuunga juhudi kwa kazima kwenye maisha halisi na huku mtandaoni pia.

Haujui tuu ni kiasi gani leo tulivyoungishwa juhudi kwa kazima na jezi nimenunua
Duh! Really?? Tell me more please na wala usinione mzalendo saaaaaaaaana 🤣🤣🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom