Harakati hizi zisizoisha huenda lengo ni kuweka mazingira ya kutoa justifications za kuhalalisha kujiongezea muda

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,371
Huyu bwana haitaji sana kura za watu kuendelea kushikilia nafasi hiyo aliyo nayo na hii ni kutokana na sheria zetu pamoja na nature ya taasisi ya kusimamia mchakato wenyewe wakati ukifika.

Katika mazingira haya ni lazima mtu uanze kujiuliza ni kwanini anaonekane kutumia nguvu kubwa sana kutaka aonekane kuwa yeye ni the best tangu tupate uhuru hata kwa kuandaa matukio yanayoishia kuzua maswali kwa watu wenye uelewa wa mambo.

Binafsi naanza kupata wasiwasi kuwa huenda harakati hizi zisizoisha na ambazo hazitaisha leo wala kesho, lengo kubwa hapa ni kumnadi yeye kama yeye ili aonekane ni mchapakazi na msimamizi mzuri anaesstahili kuongezewa muda tofauti na wengine wote waliopita.

Ni matarajia yangu kuwa harakazi hizi zitaendelea kabla ya watu wachache kuja kujitokeza huko mbeleni na kudai kuwa kwa juhudi hizi na mafanikio haya, tunapendekeza aongezewe muda na kwa kufanya hivyo lengo litakuwa limetimia huku kule "Mjengoni" nako kukiwa kumesafishwa kwa kuwaondoa wale wote ambao watakuwa kikwazo (juhudi zinaendelea).

Huu ni mtazamo wangu ila muda ndio itathibitisha pale watakapoanza kutumia matukio haya kumpigia debe.
 
Kwa hiyo akifanya kazi nzuri we unaona ni faida yake binafsi sio, watu weusi kwa kweli tuna safari ndefu. Jiwe anapiga kazi wewe unawaza urais wa 2025. Unataka urais na nyie mfanye vitu exceptional wananchi tuone
Vibaraka tumewazoea.
 
Huyu bwana haitaji sana kura za watu kuendelea kushikilia nafasi hiyo aliyo nayo na hii ni kutokana na sheria zetu pamoja na nature ya taasisi ya kusimamia mchakato wenyewe wakati ukifika.

Katika mazingira haya ni lazima mtu uanze kujiuliza ni kwanini anaonekane kutumia nguvu kubwa sana kutaka aonekane kuwa yeye ni the best tangu tupate uhuru hata kwa kuandaa matukio yanayoishia kuzua maswali kwa watu wenye uelewa wa mambo.

Binafsi naanza kupata wasiwasi kuwa huenda harakati hizi zisizoisha na ambazo hazitaisha leo wala kesho, lengo kubwa hapa ni kumnadi yeye kama yeye ili aonekane ni mchapakazi na msimamizi mzuri anaesstahili kuongezewa muda tofauti na wengine wote waliopita.

Ni matarajia yangu kuwa harakazi hizi zitaendelea kabla ya watu wachache kuja kujitokeza huko mbeleni na kudai kuwa kwa juhudi hizi na mafanikio haya, tunapendekeza aongezewe muda na kwa kufanya hivyo lengo litakuwa limetimia huku kule "Mjengoni" nako kukiwa kumesafishwa kwa kuwaondoa wale wote ambao watakuwa kikwazo (juhudi zinaendelea).

Huu ni mtazamo wangu ila muda ndio itathibitisha pale watakapoanza kutumia matukio haya kumpigia debe.


Mwaka 2019 ipigwe kura ya maoni, Rais Magufuli aruhusiwe akae hadi 2035

Hapa kazi tu!
 
Mimi nimeshajiandaa kisaikolojia.

Kama naiona vile script ya sinema ya 2022-2023.

1. Kitaibuka kikundi cha wazalendo; wasanii, wanasiasa, viongozi wa dini, wasomi etc watakaozunguka nchi nzima kuhubiri kuhusu mazuri ya mkuu; Reli, Ndege, Kupambana na Ufisadi. Na watasema hili ni chaguo la Mungu, anahitaji muda zaidi. Wakiambiwa katiba inakataza, watasema; katiba imetungwa na Watanzania na tutaibailisha sisi watanzania
2. Mkuu atakataa kata kata, na atasema haya mambo yeye hayakubali kabisa; lakini "wazalendo" watambembeleza sana, na kusali sana.
3. Bunge nalo halitaka nyuma, mind you 2020 wabunge wooooote wabishi wanarudi home, wakiwamo wa CCM kama Bashe na Nape. Watasema katiba hii tuliibadili wenyewe kuweka ukomo, na leo tunaibadili wenyewe kuondoa ukomo. Kiongozi wao atakuwa Lusinde
4. Katiba inabadilishwa, ukomo unaondolewa na urefu wa term unaongezwa.
5. Mkuu anasema amesikia vilio vya "wazalendo", na sauti ya "wengi" ni sauti ya Mungu. "Mimi ni nani mpaka nikatae"
6. ..............
7. ..............
 
Huyu bwana haitaji sana kura za watu kuendelea kushikilia nafasi hiyo aliyo nayo na hii ni kutokana na sheria zetu pamoja na nature ya taasisi ya kusimamia mchakato wenyewe wakati ukifika.

Katika mazingira haya ni lazima mtu uanze kujiuliza ni kwanini anaonekane kutumia nguvu kubwa sana kutaka aonekane kuwa yeye ni the best tangu tupate uhuru hata kwa kuandaa matukio yanayoishia kuzua maswali kwa watu wenye uelewa wa mambo.

Binafsi naanza kupata wasiwasi kuwa huenda harakati hizi zisizoisha na ambazo hazitaisha leo wala kesho, lengo kubwa hapa ni kumnadi yeye kama yeye ili aonekane ni mchapakazi na msimamizi mzuri anaesstahili kuongezewa muda tofauti na wengine wote waliopita.

Ni matarajia yangu kuwa harakazi hizi zitaendelea kabla ya watu wachache kuja kujitokeza huko mbeleni na kudai kuwa kwa juhudi hizi na mafanikio haya, tunapendekeza aongezewe muda na kwa kufanya hivyo lengo litakuwa limetimia huku kule "Mjengoni" nako kukiwa kumesafishwa kwa kuwaondoa wale wote ambao watakuwa kikwazo (juhudi zinaendelea).

Huu ni mtazamo wangu ila muda ndio itathibitisha pale watakapoanza kutumia matukio haya kumpigia debe.
JIWE Toshaaa 2025
 
Mimi nimeshajiandaa kisaikolojia.

Kama naiona vile script ya sinema ya 2022-2023.

1. Kitaibuka kikundi cha wazalendo; wasanii, wanasiasa, viongozi wa dini, wasomi etc watakaozunguka nchi nzima kuhubiri kuhusu mazuri ya mkuu; Reli, Ndege, Kupambana na Ufisadi. Na watasema hili ni chaguo la Mungu, anahitaji muda zaidi. Wakiambiwa katiba inakataza, watasema; katiba imetungwa na Watanzania na tutaibailisha sisi watanzania
2. Mkuu atakataa kata kata, na atasema haya mambo yeye hayakubali kabisa; lakini "wazalendo" watambembeleza sana, na kusali sana.
3. Bunge nalo halitaka nyuma, mind you 2020 wabunge wooooote wabishi wanarudi home, wakiwamo wa CCM kama Bashe na Nape. Watasema katiba hii tuliibadili wenyewe kuweka ukomo, na leo tunaibadili wenyewe kuondoa ukomo. Kiongozi wao atakuwa Lusinde
4. Katiba inabadilishwa, ukomo unaondolewa na urefu wa term unaongezwa.
5. Mkuu anasema amesikia vilio vya "wazalendo", na sauti ya "wengi" ni sauti ya Mungu. "Mimi ni nani mpaka nikatae"
6. ..............
7. ..............
God forbid!
 
Back
Top Bottom