Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,239
- 113,613
...jamani jaribu kuelewa kidogo,watu wengine humu tunaishi states zaidi ya miaka 10 na kuanzia nyumbani familia,kazini,supermarkets,barabarani,viwanja etc na shule zote tulizopitia ,radio,Tv na watu wote ni English tuu,sometimes unaweza usione au kuongea na mtu wa kiswahili for a month sasa unategemea nini lugha nitakayo zungumza,imefika point siwezi tena kuongea kiswahili 100% lazima nichanganye tuu bila kujua...sio arrogance nafikiri ni kuzoea na rahisi zaidi kujieleza kwa lugha unayotumia kila siku,kama ilivyo home mtu akiongea tuu unaweza kujua kama ni msukuma,mzaramo,mlugulu etc hata huku baada ya muda mtu akiongea tuu utajua katoka wapi New York,west,southern,Britain,liberia,Nigeria,midwest etc ni lugha tuu wakuu hakuna la ajabu hapo au majivuno,ila ni vizuri sana kutochanganya lugha ingawaje ni ngumu sana
limbukeni tu wewe