Muda mfupi ujao baada ya jua kuzama tunaingia ktk masaa matakatifu ya sabato,nawatakieni kila la heri ktk siku hii takatifu
mimi toka nilipozaliwa kwa mara ya pili(kiroho), katika ufalme wa mungu muumba niliingia rasmi ndani ya sabato(pumziko) langu. Sikuwahi kurudi tena kazini ila nimedumu pumzikoni(sabato) yake yesu daima. Siku za wiki, mwezi au mwaka sii issue kwangu katika kumwabudu mungu, siiabudu siku wala kuutukuza mwezi. Kama vile mungu nae alivyo pumzika siku ya saba na hakuwahi kurudi tena kazini kwamba baada ya siku sita angepumzika tena siku ya saba nyingine; vivyo hivyo nami.
Ni siku kuu siku ile ya kumkiri mwokozi. Sii ijumaa, juma mosi wala j/pili, sii idd, pasaka wala chrismass iliyo kuu, bali siku ile nafsi inapogeuzwa kwa kuzaliwa ktk ufalme wa mungu ndio iliyo kuu.
.
Amina, Tunamshukuru Mungu kwa kutupa siku hii ya pumziko ili tumuabuduMuda mfupi ujao baada ya jua kuzama tunaingia ktk masaa matakatifu ya sabato,nawatakieni kila la heri ktk siku hii takatifu
ShenjiKitimoto kipo?
Nilitaka nikujibu baada ya kumaliza post yako nimeona wewe si Sabato wala kitu gani bali wale waliochanganyikiwa. Ingia ndani ya roho yako jitafakari je, unaamini nini katika ulimwengu huu? Ukiniuliza mimi nimetendewa miujiza mara mbili na mama Maria mzazi wa Yesu ambaye mimi naamini ni mwanadamu aliyetuletea mabadililiko. Mama Maria ni mama ambaye tunamtegemea kutuombea kwa mwanawe ili tuokolewe au tupate tuombacho.Mimi toka nilipozaliwa kwa mara ya pili(kiroho), katika ufalme wa Mungu muumba niliingia rasmi ndani ya sabato(pumziko) langu. Sikuwahi kurudi tena kazini ila nimedumu pumzikoni(sabato) Yake Yesu daima. Siku za wiki, mwezi au mwaka sii issue kwangu katika kumwabudu Mungu, siiabudu siku wala kuutukuza mwezi. Kama vile Mungu nae alivyo pumzika siku ya saba na hakuwahi kurudi tena kazini kwamba baada ya siku sita angepumzika tena siku ya saba nyingine; vivyo hivyo nami.
NI SIKU KUU SIKU ILE YA KUMKIRI MWOKOZI. SII IJUMAA, JUMA MOSI WALA J/PILI, SII IDD, PASAKA WALA CHRISMASS ILIYO KUU, BALI SIKU ILE NAFSI INAPOGEUZWA KWA KUZALIWA KTK UFALME WA MUNGU NDIO ILIYO KUU.
.
Jeerez!!Shenji