kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Japo hatujauona bado 2011 nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kutufikisha siku ya leo pia kuwapongeza wanaJF wote kufika siku ya leo, naomba muungane nami kumuomba Mwenyezi Mungu atuwezeshe kuuona na kuufikia mwaka 2011 kwa amani, upendo na furaha. Nani ajuae, yote ni majaliwa.
Basi mburudike na wimbo huu, Akhsanteni........
''http://www.youtube.com/v/dcLMH8pwusw?version=3''
Basi mburudike na wimbo huu, Akhsanteni........
''http://www.youtube.com/v/dcLMH8pwusw?version=3''