mkandaboy
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 256
- 88
Tuanze kupima IQ ya MADAKTARI WETU kwa kutususia wagonjwa,IGP kwa kuridhia mwandishi habari za uchunguzi JERRY MURO, kufunguliwa kesi bandia kwa kuwaumbua matraffic police,TRAFFIC police kwa kugeuza magwanda meupe kuwa maduka,,Abiria wenyewe wa mabasi husika kwa kukubali dereva mmoja kuwaendesha kizembe watu wapatao zaidi ya sabini ndani ya basi,hadi kupelekea ajali huku wakiwa kimya. Bila kumkemea au kuwaambia maaskari waliojaa kibao mabarabarani.
.
Masaburi at work!!!!!!!!!!!