Happy International men's day to all

Happy International men's day to all

Asante mleta mada japo ilikua jana wengi wetu hatujaona au kusikia ila Ile kusoma uzi wako imetia moyo sana japo najua wengi wenu hamna jema na sisi.
 
Asante mdau. At least wanaume tumeanza kupewa maua yetu, kuwa buzi, mtafutaji, mjengaji, mlezi, kusomesha na hata kujitoa kafara kwa ajili ya familia zetu siyo jambo dogo kabisa kabisa kabisa.
Ubarikiwe dada..
🙏👋
 
Tupongeze kwanza kwa kuweza kuishi na kiumbe mwanamke.
 
Asante mdau. At least wanaume tumeanza kupewa maua yetu, kuwa buzi, mtafutaji, mjengaji, mlezi, kusomesha na hata kujitoa kafara kwa ajili ya familia zetu siyo jambo dogo kabisa kabisa kabisa.
Ubarikiwe dada..
🙏👋
Mbona buzi sasa😀😀😀
 
Back
Top Bottom